Kutokana na ushahidi unaoendelea kutolewa mahakamani, kwenye kesi ya ugaidi ya akina Mbowe, Rais Samia huna budi kumstaafisha IGP Sirro

Kiunde chombo huru ,kamisheni au time ku oversee polisi na matumizi ya nguvu

Hao makamanda wa polisi wwnaenda kutestify kama adhabu zitolewe ikwemo kifutwa kazi
 
Unaamini akiondolewa Sirro ndio Polisi watakuwa watenda haki?
 
Tulikuwa tunajiuliza kuhusu watu wasiojulikana,akili za mbayuwayu changanya na zakakwako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…