Kutokana na utabiri wa TMA kuhusu uhaba wa mvua; je, bwawa la Mwalimu Nyerere litajaa na kuanza kuzalisha umeme mwakani?

Kutokana na utabiri wa TMA kuhusu uhaba wa mvua; je, bwawa la Mwalimu Nyerere litajaa na kuanza kuzalisha umeme mwakani?

Hata ikichelewa itakamilika itajaa. Isipokuwa bwawa hili litaathiriwa na uhaba wa mvua na ukame sawa na mabwawa yote. Ujenzi ulikuwa azimio la kisiasa la kupuuza wataalamu wengi, bila ushirikiano wa umma. Tutaona.
Mzee aliamua kupuuza mradi wa gesi, hivyo "the pipeline – which has consumed Sh2.7 trillion of taxpayers’ money - is only utilised by about seven percent of its capacity, according to a past audit by the Controller and Auditor General."

“What is going on in the country at present is that we are paying the price of putting all our concentration and resources only on the Julius Nyerere Hydropower project,”
(Citizen 19.11.21)
Is it the same as putting all the eggs in the same basket?

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hata ikichelewa itakamilika itajaa. Isipokuwa bwawa hili litaathiriwa na uhaba wa mvua na ukame sawa na mabwawa yote. Ujenzi ulikuwa azimio la kisiasa la kupuuza wataalamu wengi, bila ushirikiano wa umma. Tutaona.
Mzee aliamua kupuuza mradi wa gesi, hivyo "the pipeline – which has consumed Sh2.7 trillion of taxpayers’ money - is only utilised by about seven percent of its capacity, according to a past audit by the Controller and Auditor General."

“What is going on in the country at present is that we are paying the price of putting all our concentration and resources only on the Julius Nyerere Hydropower project,”
(Citizen 19.11.21)
Huo ndio ukweli mkuu!!leo tu nimewasikia viongozi wa hifadhi ya mwalimu Nyerere, wanaanza kulaumu wakazi wanaokaa pembezoni mwake kuwa kwa uharibifu huu wa mazingira unaofanyika cjui, ni hatari kwa maji ya kutosha kufika kwenye bwawa!!ni suala la muda tu, huko mbeleni tutarudi tu kuambiwa kuwa MABADILIKO YA TABIA YA NCHI!!utadhania hili neno ndio limeanza leo!!
 
Back
Top Bottom