Kutokana na uzuri wake nashindwa kukataa mualiko, ingawa ananipa gharama

Kutokana na uzuri wake nashindwa kukataa mualiko, ingawa ananipa gharama

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Siku ya leo, nikajikuta bora nimsalimie mrembo wangu mwenye ujauzito aliyepo mkoani.

Baada ya kuchat kwa muda, ikaonekana inabidi tuonane ili kukipa lishe kile kiumbe; ingawa uchumi hauko vizuri, ila kutokana na ushawishi pamoja na uzuri wake, nimejikuta nakubali mualiko.

Nilipomuuliza kuhusu 'venue', akanitajia hotel yenye gharama kuliko mfuko wangu; hapa nilipo najaribu kutafakari, niende ama nisiende.

Nikiangalia mshepu n.k, najikuta moyo unasema niende tu.

Wakuu, mtoto kama huyu, ungeweza kupangua hoja ya kutokwenda kuonana naye?

leo3.jpg
 

Siku ya leo, nikajikuta bora nimsalimie mrembo wangu mwenye ujauzito aliyepo mkoani.

Baada ya kuchat kwa muda, ikaonekana inabidi tuonane ili kukipa lishe kile kiumbe; ingawa uchumi hauko vizuri, ila kutokana na ushawishi pamoja na uzuri wake, nimejikuta nakubali mualiko...​
Huyo uliempost ndo demu lako au mfano wa demu lako??
 
Inawezekana, hawa viumbe hawaeleweki
Kwanin hotelin? Kuna sehem nyng nzurii za kula au kupumzka au kufanya mazungumzo yenu..... Ila km anatk ufanye instalment ya chakula chumba n.k kwa masaa inakata ata 100k... Mchane ukwel mim I can't afford na nikija silipii au tumia akili ya uanaume hushindwi....
 
Back
Top Bottom