Tangia lini Nchi za Ulaya zilikaribisha wageni?
Itoshe, leo hii Ulaya nzima imeshikiliwa na Siasa, Sera, na itikadi za mrengo wa kulia. Ufashisti.
Waunga mkono wa itikadi hiyo hawawataki wageni katika nchi zao na sasa wanatafuta madampo Africa, mfano watafuta Ukimbizi Ulaya kuswagwa kama ng'ombe na kupelekwa Rwanda.