Kutokana na video ya Vitamin U, BASATA yamfungia Rosa Ree kwa miezi sita

Kutokana na video ya Vitamin U, BASATA yamfungia Rosa Ree kwa miezi sita

Huyu rosa ree sijuagi anaimba nini sijawahi kukubali nyimbo yake hata moja

Inonekana baada ya kushoot video alimbandua
 
Utaona wajinga wachache wanasema tusimseme vibaya,huyo nikama mama yenu au dada yenu.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dogo kashika mkuyenge wa dingi au sio ?
Hahah yuko anakagau mali ya bi.mkubwa wake mkuu.
 
Uyu msani toka kitambo sijawa kumuelewa mi namwona malaya tuuh na soon video zake za faraga zitakua on air ...hana kitu kichwani anajua kubegejua domo tuuh kwa kulipindisha juu Kama beberu lililolamba mkojo wa jike aliyoko heat period
Duh aiseeee
 
Sure. Akirudi kapotea.
Hapa kati anaweza ibuka msanii mwingine wa kike aka rap akamfunika tukamsahau.
mziki wa Tz ni mgumu basata wakija kwetu kenya basi watafungia karibia kila nyimbo ju uku ni worst wanaimba ngono bila kuficha sema tu ni vile wanatumia sheng sana
 
huyu jamaa timmy tdat ni bashaake na km akiendelea kuendekeza mapenzi kuliko kazi atapotea kwny game...ushauri wangu kwake ajitahid kutengeneza mziki mzuri na aachane na mambo ya kutengeneza "controversial videos" zinamshusha kimuziki kuliko kumpandisha

...na hata hii video yao ya asante baba ni uchafu mtupu huyu jamaa wa nai anampoteza sn huyu manzi!
Anaonekana bado hayajui mapenzi atakuja kulianzisha varangati kama Ebitoke
 
Back
Top Bottom