PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Ni kipande cha hatari sanaHayo Ni Maeneo Hatari Sana Tena Unatakiwa Kuwa Makini Mno Maeneo Ya Ajali Sana Kuna Kipindi Cha Jiwe Utawala Wake Ulitaka Kumfuta Kazi RPC PWANI Akawa Halali Maana Oops
Ni kipande cha hatari sana
Mwendokasi ni. Neno pana sana, simply distance / time, kwa maana hata 10km/ h ni mwendokasi!!, unaposema mwendokasi unaua i intakiwa haswa uweke specific speed ambayo ni hatari, ukiendesha barabara za sourh Africa N1 kwa mfano kuna vipande vingi tu ambavyo 120km/h, ni legal na imesisitizwa kwa vibao kabisaMwendo kasi unaua
Sasa madereva akili mbovu ndio wanajibanika wenyewe kama mishikaki ya samaki nchanga ama kwa magari mengine,makorongo ,miti ama kwa kumbirita mara sabini.Kisa barabara wanaona wanaimudu na vigari vyao.Omba MUNGU upite eneo hili kama hakuna foleni ya malori, hapa utashuhudia madereva wa crown,brevis,mark x, Subaru, alteza wakitunisha misuli dhidi ya V8
Hapa nakumbuka mwaka Juzi kuna mwendawazimu alinipita Volkswagen Amarok kama risasi nahisi Yule mwehu anatumia bangi Kali Sana.
Hiki ni kipande ambacho kama gari yako haina uwezo isibishane kabisaa ni Bora uwe mpole na speed yako 60 ili kila anayekupita asijisifie ya kuwa unashindana nae.
Nawakumbusha madereva wenzangu kuwa huu mwezi December ni mwezi wa kila MTU anasifiri hivyo jitahid Sana kufanya safari yako bila kuangalia madereva wenzio watakuonajeView attachment 3144349
Kwa kifupi Tanzania tuna miundombinu mibovu tuMwendokasi ni. Neno pana sana, simply distance / time, kwa maana hata 10km/ h ni mwendokasi!!, unaposema mwendokasi unaua i intakiwa haswa uweke specific speed ambayo ni hatari, ukiendesha barabara za sourh Africa N1 kwa mfano kuna vipande vingi tu ambavyo 120km/h, ni legal na imesisitizwa kwa vibao kabisa
Yeah, halafu kwa kukosa weledi polisi kila ajali wanaihusisha na mwendokasi, hapo ruvu hadi chalinze 60km/ h inaweza kukulaza mlango wazi,Kwa kifupi Tanzania tuna miundombinu mibovu tu
Hii kapeti unaichapa 180km/h chini 120km/h ila sasa kina historia mbaya sana, umakini mkubwaOmba MUNGU upite eneo hili kama hakuna foleni ya malori, hapa utashuhudia madereva wa crown,brevis,mark x, Subaru, alteza wakitunisha misuli dhidi ya V8
Hapa nakumbuka mwaka Juzi kuna mwendawazimu alinipita Volkswagen Amarok kama risasi nahisi Yule mwehu anatumia bangi Kali Sana.
Hiki ni kipande ambacho kama gari yako haina uwezo isibishane kabisaa ni Bora uwe mpole na speed yako 60 ili kila anayekupita asijisifie ya kuwa unashindana nae.
Nawakumbusha madereva wenzangu kuwa huu mwezi December ni mwezi wa kila MTU anasifiri hivyo jitahid Sana kufanya safari yako bila kuangalia madereva wenzio watakuonajeView attachment 3144349