PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Omba MUNGU upite eneo hili kama hakuna foleni ya malori, hapa utashuhudia madereva wa crown, Brevis, Mark X, Subaru, Alteza wakitunisha misuli dhidi ya V8.
Hapa nakumbuka mwaka Juzi kuna mwendawazimu alinipita Volkswagen Amarok kama risasi nahisi Yule mwehu anatumia bangi kali sana. Hiki ni kipande ambacho kama gari yako haina uwezo isibishane kabisaa ni Bora uwe mpole na speed yako 60 ili kila anayekupita asijisifie ya kuwa unashindana nae.
Nawakumbusha madereva wenzangu kuwa huu mwezi December ni mwezi wa kila MTU anasifiri hivyo jitahid Sana kufanya safari yako bila kuangalia madereva wenzio watakuonaje.
Hapa nakumbuka mwaka Juzi kuna mwendawazimu alinipita Volkswagen Amarok kama risasi nahisi Yule mwehu anatumia bangi kali sana. Hiki ni kipande ambacho kama gari yako haina uwezo isibishane kabisaa ni Bora uwe mpole na speed yako 60 ili kila anayekupita asijisifie ya kuwa unashindana nae.
Nawakumbusha madereva wenzangu kuwa huu mwezi December ni mwezi wa kila MTU anasifiri hivyo jitahid Sana kufanya safari yako bila kuangalia madereva wenzio watakuonaje.