johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!