Kutokea Mambo ya Nje Mkapa na Kikwete walifanikiwa kuwa Rais wa JMT, Salim Ahmed Salim, Migiro na Membe Walifeli. Makamba Jr atafaulu?

Kutokea Mambo ya Nje Mkapa na Kikwete walifanikiwa kuwa Rais wa JMT, Salim Ahmed Salim, Migiro na Membe Walifeli. Makamba Jr atafaulu?

Tunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete

Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni

Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?

Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kuku ukimnunua tunamweka miguu yake juu ya jiko iliakiungua asiwe na uwezo wa kwenda mbali. Kuna kiongozi moja alipelekwa hapo ili akija kuwa Raisi asiwe kama kuku mwenda mbali . Mwisho wa kunukuu.
 
Kuku ukimnunua tunamweka miguu yake juu ya jiko iliakiungua asiwe na uwezo wa kwenda mbali. Kuna kiongozi moja alipelekwa hapo ili akija kuwa Raisi asiwe kama kuku mwenda mbali . Mwisho wa kunukuu.
Duh 🙄! Hapo nimetoka kapa !
 
Back
Top Bottom