johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
si mlikubaliana rais wa muungano zamu hii atatoka kule Kizimkazi? Tunawakumbusha viongozi zama za kuishi kwa mazoea na janjajanja zimepitwa na wakati.
Sababu ya Makamba kupelekwa mambo ya nje?Tunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Ramli za Babu wa Loliondo kuwaza hivyo vipi Magufuli?Tunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kwani kale kautaratibu ka kuachiana kati ya wakristo na waislamu bado katakuwepo ifikapo 2030 ??!Tunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Kama suala ni kuongozana, basi anayefuata atatoka Wizara ya UjenziTunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
Baba Mzazi wa January ni Muislam, Mama Mzazi wa January ni Mkristo, Mke wa January ni MkristoKwani kale kautaratibu ka kuachiana kati ya wakristo na waislamu bado katakuwepo ifikapo 2030 ??!
Kama bado kapo basi itakuwa ni zamu ya wakristo 2030-2040 !
Makamba Mungu akipenda 2050 [emoji120][emoji120][emoji120] Lakini mimi hapo nitakuwa nilisha rudi nyumbani kwetu ni kuzuri [emoji120][emoji120][emoji28][emoji28] ! Kwahiyo sitomshuhudia akiwa Ikulu !!
Umewakosea heshima hao uliowataja, ungemtaja zembwela.Nchi ilipofikia hata Bambo na Kingwendu wanaweza kuiongoza kama rais.
Hivyo hata mtu mwenye uwezo mdogo sana kama Makamba anaweza kuwa rais.
Sababu CCM na wizi wa kura, rushwa na uongo ndio dira yao na kigezo cha kupata madaraka.
His failure shall be the worst ever to be mentioned.in his historyTunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!
ahaha ha! Hatar sana 😀Baba Mzazi wa January ni Muislam, Mama Mzazi wa January ni Mkristo, Mke wa January ni Mkristo
ikifika muda wa kuchukua fomu ataamua awe Muislam or Mkristo, ikiwa 2030 atakuwa Mkristo na ikiwa 2050 atakuwa Muislam
watu kwny madaraka watafanya lolote ili wapate tu
Gabon huko wanashangilia kumaliza utawala wa Familia moja ya Bongo kwa miaka 56 lakini alieingia pia ni Binamu yale Ally Bongo
Hakubaliki nguruwe pori huyu kigeugeu wa diniTunakumbushana tu Kwani hadi sasa Wizara ya Mambo ya Nje ndio inaongoza kwa kutoa Marais Wawili waliongozana hayati Mkapa na mzee Kikwete
Lakini MFA inatamba sana kwenye 3 Bora za Kura za Maoni
Je, Safari ya CCM kumpeleka January Makamba Ikulu ndio imeanza?
Mungu wa mbinguni awabariki sana!