Kutokea Mambo ya Nje Mkapa na Kikwete walifanikiwa kuwa Rais wa JMT, Salim Ahmed Salim, Migiro na Membe Walifeli. Makamba Jr atafaulu?

Kuku ukimnunua tunamweka miguu yake juu ya jiko iliakiungua asiwe na uwezo wa kwenda mbali. Kuna kiongozi moja alipelekwa hapo ili akija kuwa Raisi asiwe kama kuku mwenda mbali . Mwisho wa kunukuu.
 
Kuku ukimnunua tunamweka miguu yake juu ya jiko iliakiungua asiwe na uwezo wa kwenda mbali. Kuna kiongozi moja alipelekwa hapo ili akija kuwa Raisi asiwe kama kuku mwenda mbali . Mwisho wa kunukuu.
Duh 🙄! Hapo nimetoka kapa !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…