MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,134
- 3,192
- Thread starter
- #121
Nakuaminije labda?!
Nimekuzaa??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani kwa majibu haya mbona kazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuaminije labda?!
Nimekuzaa??
Ndiyo kijana anatatizo Kwa bandiko hili na hata comments zake basi unaweza ukaelewa kuwa ni mtu wa aina gani.
Any way, mahusiano ni zaidi ya bustani inayohitaji maangalizo ya Karibu na kila siku.
Utakuwa billionaire mapema mkuu
yes uko sahihiNgoja nikwambie kitu mkuu..kwenye hayo maswali ya umekula na nini kama kwa siku nzima yamekuja bila wazo la kimaendeleo trust huyo mwanaume au mwanamke anamshauri wake pembeni.sasa kwanini wewe mpenzi usiwe mshauri wake??
hahahahaYani wewe unioe mimi kabisaaaa.no thank u
Yani badala utumie utumie njia ya kistaarabu ya kujenga mahusiano yako eti umepigia kimya dada wa watu!!!ulimpenda kweli!!ninamashaka.
Jamaa unashida pia,unashindwa nini kukaa chini na mpenzi wako umwambie hiki na hiki sikipendi naomba ubadilike mkaridhiana??
Waajabu kweli huyu.angejua kitendo cha kumponda dada wa watu hapa kinamuweka mbali na warembo ,angejinyamazia kimyaaaa.
Tatizo langu nini sasa mkuu?[emoji25][emoji25]
Kabisa kabisa mkuuyes uko sahihi
na Mapenzi yakiwa hayana maendeleo ni kupoteza muda
Hasira ni hasara lakini, la muhimu kukaa chini na kuongeaKila mmoja ana hasira na mwezake
Nimesoma ujumbe wako nimeufananisha na ujumbe wa malalamishi km hayo khs rfk yangu.
hahahaha
huyi nlisha kwambia hamtaki huyo mtoto so aatafuta namna tuseme amwache tu
Hasira ni hasara lakini, la muhimu kukaa chini na kuongea
PoleHi wana JF natumaini mko wazima wa afya kabsa.
Mimi ni member wa siku nyingi sana huku JF na nimekuwa wa kujifunza mambo mengi tu kupitia humu ila leo nimeamua kuja na hili swala la kutokuaminiana katika mahusiano.
Mpenzi wangu kusema ukweli haniamini kabsa nisipopokea simu analeta maneno kibao, kiasi kwamba mpaka ananikosesha amani, kwa sasa nimeamua tusiwasiliane kwa wiki 2 na leo ni siku ya tatu hatuwasiliani.
Nahitaji mawazo yenu wana jf kama maamuzi yangu yako sahihi au nitakuwa nimekosea kufanya hayo maamuzi??
Tukumbuke huu msemo KAMA AMESHIDWA KUKUAMINI VILE VILE HAWEZI KUKUPENDA