Kutokuaminiana katika mahusiano

Ndiyo kijana anatatizo Kwa bandiko hili na hata comments zake basi unaweza ukaelewa kuwa ni mtu wa aina gani.

Any way, mahusiano ni zaidi ya bustani inayohitaji maangalizo ya Karibu na kila siku.

Tatizo langu nini sasa mkuu?[emoji25][emoji25]
 
Ngoja nikwambie kitu mkuu..kwenye hayo maswali ya umekula na nini kama kwa siku nzima yamekuja bila wazo la kimaendeleo trust huyo mwanaume au mwanamke anamshauri wake pembeni.sasa kwanini wewe mpenzi usiwe mshauri wake??
yes uko sahihi
na Mapenzi yakiwa hayana maendeleo ni kupoteza muda
 
hahahaha
huyi nlisha kwambia hamtaki huyo mtoto so aatafuta namna tuseme amwache tu
 
Pole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…