ndugu ngoja wataalamu wa sheria watakuja kukufahamisha.
Ila nyie wenye nyumba mnamatatizo(si wote) kuna jamaa yangu alitakiwa alipe kodi mpya wiki moja kabla ya tarehe 2 augost,ilipofika tarehe 18 Mwenye nyumba akampa barua kuwa amepandisha kodi toka Lak 1 ya awali hadi lak na nusu,ongezeko hilo ilitakiwa anzekulipa mkataba mpya,sababu eti ni gharama za maisha kupanda.mimi na rafiki yangu tukajiuliza kwanini kupanda siku chache kuelekea kulipa?hiyo badget imetoka wapi wakati ulikua umeandaa lak kwa mwezi then ghafla unambiwa kwa lakin na nusu?kwa kweli tusio na nyumba tunapata tabu sana