Sio diomond ni harmonizeNimeisikiliza hii ngoma yake Mpya diamond kafanya vizuri sana kwenye kiitikio.
mkuu siyo diamond ni harmonizeNimeisikiliza hii ngoma yake Mpya diamond kafanya vizuri sana kwenye kiitikio.
Kafanya makusudi, anajua sana kua ni Harmonize ndo kaua kiitikio.mkuu siyo diamond ni harmonize
Nadhan ni kawaida na ndo staili yake hivyo usimpangie!. Kwa sisi wahenga kuna mmarekani mmoja kwa jina Jah Rule alikuwa haimbi mpaka afanye featuring na msanii mwingine!Mrisho Mpoto,sijui kwanini huwa hajiamini ktk Muziki.
Kila wimbo anaoimba lazima afanye Featuring na msanii mwenzake ili abebwe ktk kiitikio(chorus) bila ya hivyo jamaa angekua bado ni msanii chipukizi(underground).
Kama anajiamini awe anasimamia wimbo yeye mwenyewe la sivyo aendelee
KUMWAGA RADHI.
Aimbe habari zake za mjomba aone kama hajatekwa!Anamuogopa Magufuli, sasa hivi anaimba harusi kama Issa Matona .
Hahahaa nami nimeshangaa ujio wake huuAnamuogopa Magufuli, sasa hivi anaimba harusi kama Issa Matona .
Siyo kuongea ni kughani....Hivi Nyimbo zake huwa anaimba au anaongea? Lazima aweke mwimbaji sababu yeye anaongea ngonjera
Propesa unaniangusha[emoji13]Nimeisikiliza hii ngoma yake Mpya diamond kafanya vizuri sana kwenye kiitikio.
Sio kweli, ule Holla Holla alifanya featuring na nani?Nadhan ni kawaida na ndo staili yake hivyo usimpangie!. Kwa sisi wahenga kuna mmarekani mmoja kwa jina Jah Rule alikuwa haimbi mpaka afanye featuring na msanii mwingine!
Nadhan ni kawaida na ndo staili yake hivyo usimpangie!. Kwa sisi wahenga kuna mmarekani mmoja kwa jina Jah Rule alikuwa haimbi mpaka afanye featuring na msanii mwingine!
Weee nawe,kwan Mrisho nyimbo zake kashirikisha? Kuna nyingine kaimba peke yake hapa tunamaanisha nyingiSio kweli, ule Holla Holla alifanya featuring na nani?
Hahahaha uimbaji wake wa kuongea ulifana sana kwenye siasa lakini huku kwenye mapenzi lazima achemshe tuKaacha kuimba siasa kwa sasa amehamia kwenye Ndoa.