Kutokunywa maziwa kunafanya wakulima kuwa wafupi

Kutokunywa maziwa kunafanya wakulima kuwa wafupi

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.

Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.

Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.

Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.

Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
 
Upimbi what do you mean ?
We una urefu futi ngapi
Unapost None-sense Sana sijui Jf umeijua recently?!!
 
Urefu ni 95% hereditary and only 5% external factors.

Makundi yote uliyoyataja utagundua wanakitu kimoja in common- kuzaliana wao kwa wao na ndo maana wengi wanafanana sana, you can tell mtutsi au msudan hata akiwa a mile away.
 
Urefu ni 95% hereditary and only 5% external factors.

Makundi yote uliyoyataja utagundua wanakitu kimoja in common- kuzaliana wao kwa wao na ndo maana wengi wanafanana sana, you can tell mtutsi au msudan hata akiwa a mile away.
Baada ya miaka mingi mazingira huathiri genes.
 
Baada ya miaka mingi mazingira huathiri genes.

Uathirikaji wake hauwezi kuwa sawa kulinganisha na jamii ambazo zinachanganyana. Umewahi kuona msudan au mkurya mweupe? Exactly. Hiyo nayo inachangiwa na maziwa?
 
Urefu ni 95% hereditary and only 5% external factors.

Makundi yote uliyoyataja utagundua wanakitu kimoja in common- kuzaliana wao kwa wao na ndo maana wengi wanafanana sana, you can tell mtutsi au msudan hata akiwa a mile away.
Pia Adaptation over time kulingana na mazingira, wengine walikula matunda sana ya mtini kama twiga wakaadapt kuweza kuyafikia kwa urefu, wengine walikula sana mihogo ardhini hawakuwa na nia ya kufikia matunda ya juu wakaadapt mazingira yao over time
 
Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni mapimbi sana. Watu warefu kabisa Africa wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa nk. Na hata kwa kawaida wabantu si warefu(sababu ya lishe duni), lakini wasukuma na wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.

Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, nk nk. Wengi wao mapimbi mapimbi. Shida ni hawapati maziwa.

Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi. Maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.

Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.

Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka upimbi.
Mi nimetoka familia za wa kulima ni mrefu, giant and handsome... we mwenyewe ukiona utatamani nikupelekee moto.
 
Uathirikaji wake hauwezi kuwa sawa kulinganisha na jamii ambazo zinachanganyana. Umewahi kuona msudan au mkurya mweupe? Exactly. Hiyo nayo inachangiwa na maziwa?
Ndiyo maana nakuambia mazingira baada ya muda mrefu yanaathiri genetics. Hao wasudan, wamasai na wajaluo ni Nilotics. Mazingira waliyoishi ni ya jua kali kupita kiasi ndiyo sababu kuzalisha hizo ngozi nyeusi na baadaye kurithisha watoto na watoto.

Habari ya kuchangamana hapa inaingiaje?
 
Ndiyo maana nakuambia mazingira baada ya muda mrefu yanaathiri genetics. Hao wasudan, wamasai na wajaluo ni nilotics. Mazingira waliyoishi ni ya jua kaki kupita kiasi ndiyo sababu kuzalisha hizo ngozi nyeusi na baadaye kurithisha watoto na watoto.

Habari ya kuchangamana hapa inaingiaje?

Kwahiyo wanarithisha rangi tu sio urefu? You're contradicting yourself.
 
Tangu uwe mrefu, umeingiza kiasi gani cha pesa?
Huo urefu hasa umekusaidia nini tofauti na wafupi?
 
Mlipata maziwa au kuna upatikanaji wa maziwa kwenye mazingira yenu? Kama hamna basi maza wako atakuwa alipelekewa moto na wafugaji.
Sikupata hayo maziwa ni ugali wa dona na mboga za majani but nimekwambia mimi ni super tall, giant na handsome la nguvu wewe mwenyewe ukiniona mchonyo unakuchonyota utaniomba nikupelekee moto.
 
Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.

Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.

Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.

Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.

Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Wachaga ni warefu lakini wao wanakunywa mbege hii unaisemeaje
 
Back
Top Bottom