Kutokunywa maziwa kunafanya wakulima kuwa wafupi

Kutokunywa maziwa kunafanya wakulima kuwa wafupi

Sikupata hayo maziwa ni ugali wa dona na mboga za majani but nimekwambia mimi ni super tall, giant na handsome la nguvu wewe mwenyewe ukiniona mchonyo unakuchonyota utaniomba nikupelekee moto.
Kama hukupata maziwa na tall basi maza wako alipelekewa moto na wafugaji.
 
Sayansi inasema hakuna kitu Cha hatari kama maziwa currentry.

Hii bleed ya Ng'ombe wa kisasa ni hatari kwa afya ya FIGO NA INI.

2. Hii sababu ya Urefu na ufupi ni kurithi.
Na Jamii za watu warefu zaidi yani mfano massai wanaoana wamasai kwa wamasai.

FUATILIA DOCUMENTARY
UTAOGOPA HATA KISIKIA NENO MAZIWA.
 
Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.

Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.

Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.

Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.

Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Kwanza hongera ndugu kwa uzi mzuri wa "kufikirisha", unachangamsha ubongo.

Ili tujadili hili swala vizuri inabidi tujikite kwenye maandiko ya kitaaluma zaidi. Hapa nadhani tunaweza kupunguza maswali na mabishano (japo mabishano ni mazuri kama ni ya msingi).

Kuna aina nyingi za tafiti, kuna zile zenye kuangalia uhusiano wa vitu (correlation) na nyingine zinaangalia visababishi vya kitu (causation). Mfano, unachokisema wewe ni ubusiano (correlation) baina ya jamii ya wafugaji na urefu. Of which kuna published studies (please do google scholar for your reference) nyingi tu zinazoonyesha kuwa kuna uhusiano kidogo sana baina ya wanywaji maziwa na urefu, lakini studies hazizungumzii nini kinasababisha (cause) hasa ya hali hiyo.

Hivyo huenda ikawa tu ni uhusiano na sababu (cause) ikawa siyo maziwa hasa. Hapa inahitajika studies za kina sana kujua cause. Maana tukisema maziwa yana calcium kwa wingi, basi mimea ndiyo ina varieties nyingi zaidi zenye calcium content, mfano almost all nuts and most vegies (do google search). Kuhusu protein pia inapatikana vizuri sana kwa mimea, mfano maharage ambayo wakulima wanakula SANA.

NATAMANI kuandika zaidi ila ngoja tuishie hapa kwa leo. Kwa ufupi umeangalia zaidi correlation ambapo kwa ujumla kuhusianisha vitu ni rahisi kuliko kusema kwanini vinahusiana.

Dongbei.
 
Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.

Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.

Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.

Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.

Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Umechambua kisayansi kabisa. Mahindi na Mchele hazina Calcium.
 
Umechambua kisayansi kabisa. Mahindi na Mchele hazina Calcium.
Calcium ni muhimu sana. Hata wataalamu wanasema wanyama wanastawi sana Serengeti kwa sababu ya hiyo. Wanasema volkano zinazolipukaga huko ni tofauti sana, zina calcium kwa wingi, hivyo hata nyasi zinazokuwa kule zimejaa calcium. Ndiyo sababu wanyama kama nyumbu wanastawi sana.
 
Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.

Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.

Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.

Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.

Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Nchi ya Viwanda hii,Hawa wakulima Mkawaangalie
 
Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.

Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.

Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.

Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.

Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Hongera wanyamwezi na wasukuma.
 
Calcium ni muhimu sana. Hata wataalamu wanasema wanyama wanastawi sana Serengeti kwa sababu ya hiyo. Wanasema volkano zinazolipukaga huko ni tofauti sana, zina calcium kwa wingi, hivyo hata nyasi zinazokuwa kule zimejaa calcium. Ndiyo sababu wanyama kama nyumbu wanastawi sana.
Oi njoo nikupelekee moto huenda ukazaa mtoto mrefu.
 
Back
Top Bottom