Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
- Thread starter
-
- #21
Kama hukupata maziwa na tall basi maza wako alipelekewa moto na wafugaji.Sikupata hayo maziwa ni ugali wa dona na mboga za majani but nimekwambia mimi ni super tall, giant na handsome la nguvu wewe mwenyewe ukiniona mchonyo unakuchonyota utaniomba nikupelekee moto.
Wachaga wanafuga sana. Halafu kizazi chao ni mchanganyiko waliokuwaga wafugaji zamani.Wachaga ni warefu lakini wao wanakunywa mbege hii unaisemeaje
Wachaga wepi warefu? Hizi ndizi fupi za kimara?Wachaga ni warefu lakini wao wanakunywa mbege hii unaisemeaje
Njoo basi nawewe nikupelekee moto maana upo obsessed sana nasisi tall boys!!Kama hukupata maziwa na tall basi maza wako alipelekewa moto na wafugaji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] heheheee we mpelekee motooMi nimetoka familia za wa kulima ni mrefu, giant and handsome... we mwenyewe ukiona utatamani nikupelekee moto.
Mpelekee maza wako. Ongea naye, anapenda warefu.Njoo basi nawewe nikupelekee moto maana upo obsessed sana nasisi tall boys!!
Kwanza hongera ndugu kwa uzi mzuri wa "kufikirisha", unachangamsha ubongo.Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.
Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.
Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.
Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.
Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Umechambua kisayansi kabisa. Mahindi na Mchele hazina Calcium.Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.
Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.
Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.
Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.
Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Mkuu wee mfupi nini, mbona umejaa nyembe ghafra.Upimbi what do you mean ?
We una urefu futi ngapi
Unapost None-sense Sana sijui Jf umeijua recently?!!
Maza wangu hajaleta mada ya warefu umeileta wewe... am super tall kuanzia mwili hadi mkuyenge.. u will enjoy it... njoo uchukue moto.Mpelekee maza wako. Ongea naye, anapenda warefu.
Calcium ni muhimu sana. Hata wataalamu wanasema wanyama wanastawi sana Serengeti kwa sababu ya hiyo. Wanasema volkano zinazolipukaga huko ni tofauti sana, zina calcium kwa wingi, hivyo hata nyasi zinazokuwa kule zimejaa calcium. Ndiyo sababu wanyama kama nyumbu wanastawi sana.Umechambua kisayansi kabisa. Mahindi na Mchele hazina Calcium.
Nchi ya Viwanda hii,Hawa wakulima MkawaangalieFuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.
Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.
Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.
Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.
Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Hongera wanyamwezi na wasukuma.Fuatilia jamii za wakulima na wafugaji. Utaona wakulima ni wafupi sana. Watu warefu kabisa Afrika wote ni wafugaji. Wadinka na wasudan kusini wengine, Wamasai, Watutsi, wahausa n.k, na hata kwa kawaida wabantu si warefu (sababu ya lishe duni), lakini Wukuma na Wakurya ni warefu sababu ya kupiga maziwa.
Cheki wakulima, waluguru, wakinga, wapare, wangoni, n.k, wengi wao wafupi wafupi, shida ni hawapati maziwa.
Mtu kuwa mrefu inambidi kuwa na mifupa mirefu na imara. Na mifupo hiyo hutengenezwa na madini ya Calcium. Na maziwa ni moja ya chakula, kama siyo kinachoongoza kuwa na calcium kwa wingi. Pia mifupa imara inahitaji vitamin D kwa wingi, maziwa yanayo ya kutosha. Wafugaji wanapiga pia nyama ambazo zinawasaidia kupata protini za kujenga mwili.
Mwandishi mmoja alisema kuwa binadamu alipoanza kulima afya na lishe yake vilianza kuzorota. Anasema walioishi kwa kuwinda na kukusanya kama walivyo mabushmen, walikuwa na Afya njema kuliko wakulima.
Tujitahidi kunywa maziwa kuepuka ufupi.
Oi njoo nikupelekee moto huenda ukazaa mtoto mrefu.Calcium ni muhimu sana. Hata wataalamu wanasema wanyama wanastawi sana Serengeti kwa sababu ya hiyo. Wanasema volkano zinazolipukaga huko ni tofauti sana, zina calcium kwa wingi, hivyo hata nyasi zinazokuwa kule zimejaa calcium. Ndiyo sababu wanyama kama nyumbu wanastawi sana.
Hoja hupingwa kwa Hoja,Mtoa mada ni kiazi.