Kutokusajili katiba ndipo umetumika kama sehemu ya kuivuruga Yanga

Kutokusajili katiba ndipo umetumika kama sehemu ya kuivuruga Yanga

Smt016

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2016
Posts
3,012
Reaction score
4,300
Process ilienda vizuri tu kwanzia kuomba ushauri kwa wahispania hadi kwenye kuandaa katiba mpya iliyoendana na mfumo mpya wa mabadiliko, hii katiba ilipitishwa na wanachama wote wa klabu ya Yanga siku ya mkutano mkuu na pia serikali iliipitisha hiyo katiba sasa sijui ni nini kilitokea hadi isisajiliwe RITA wakati kila kitu kilikuwa sawa? Hapa ndipo kwenye udhaifu na ndipo kwenye hoja za akina Magoma maana inaonekana hadi sasa katiba inayopaswa kutumika ni ya mwaka 2010.

Kingine naona pia kuna wazee waliopo kwenye hizi timu za kariakoo wana mawazo ya kuendeleza hizi timu kwenye umaskini wa kutembeza bakuli. Alikuwa Kilomoni na kundi lake kasumbua sana mchakato wa Simba ilihali hao wazee wakiachiwa timu hakuna maendeleo yeyote yale. Leo hii Simba na Yanga zitaonekana tishio Africa na wanakuwa na muendelezo mzuri mashindano ya kimataifa kutokana na uwepo wa hawa wadhamini ila wao ni kukazanai kukwamisha hawa wadhamini na wawekezaji ili mradi tu vipate ulaji kwenye hizi timu.
 
Hersi out. Katiba ifatwe, Over
Hapa haitaumia Yanga pekee, kuendekeza hao wazee soon na akina Kilomoni na kundi lake la akina Kigwangala litaibuka na wao kwakutoishia mtandaoni bali kwenda mahakamani na wao ili kumuonesha umwamba Mo. Kama hujui basi ujue kuwa hata Mo hajafuata katiba, hapaswi kuchukua hisa 49 peke yake, na katiba ya Simba haikupitishwa hivyo kisheria sio muwekezaji wa Simba lakini tukumbuke Mo alitamka kuwa kainunua Simba. Kufurahia hili ni kulikaribisha yawakute na nyie wa Simba.
 
Hapa haitaumia Yanga pekee, kuendekeza hao wazee soon na akina Kilomoni na kundi lake la akina Kigwangala litaibuka na wao kwakutoishia mtandaoni bali kwenda mahakamani na wao ili kumuonesha umwamba Mo. Kama hujui basi ujue kuwa hata Mo hajafuata katiba, hapaswi kuchukua hisa 49 peke yake, na katiba ya Simba haikupitishwa hivyo kisheria sio muwekezaji wa Simba lakini tukumbuke Mo alitamka kuwa kainunua Simba. Kufurahia hili ni kulikaribisha yawakute na nyie wa Simba.
Hili wana Simba hawajui wacha wafurahie hili na wao kije kuwalamba kwa mwekezaji wao ambaye hakufuata utaratibu.
 
Heist out.... Yani wana yanga mnatetewa musiibiwe na nyie mnang'ang'ana tu dah... hapa nd naelewa kwa nini wakoloni wachache waliokuja africa waliweza kutawala wenyeji wengi.
 
Heist out.... Yani wana yanga mnatetewa musiibiwe na nyie mnang'ang'ana tu dah... hapa nd naelewa kwa nini wakoloni wachache waliokuja africa waliweza kutawala wenyeji wengi.
Klabu ilikuwa haina ela sasa mtu anaiba kutoka wapi? Klabu ilikuwa ikitegemea bakuli ili ijiendeshe na mishahara wachezaji walikuwa hawalipwi, leo hii wachezaji wanakuja wa hadhi kubwa na timu inapanda thamani na viwango vya ubora Africa halafu mtu unakuja kusema tusiibiwe utafikiri Yanga ina vyanzo vya mapato kuifanya ijiendeshe.
 
Hapa haitaumia Yanga pekee, kuendekeza hao wazee soon na akina Kilomoni na kundi lake la akina Kigwangala litaibuka na wao kwakutoishia mtandaoni bali kwenda mahakamani na wao ili kumuonesha umwamba Mo. Kama hujui basi ujue kuwa hata Mo hajafuata katiba, hapaswi kuchukua hisa 49 peke yake, na katiba ya Simba haikupitishwa hivyo kisheria sio muwekezaji wa Simba lakini tukumbuke Mo alitamka kuwa kainunua Simba. Kufurahia hili ni kulikaribisha yawakute na nyie wa Simba.
Huwa tunazungumzia mada iliyopo kwa sasa, ambayo ni Hersi out!
 
Hapa haitaumia Yanga pekee, kuendekeza hao wazee soon na akina Kilomoni na kundi lake la akina Kigwangala litaibuka na wao kwakutoishia mtandaoni bali kwenda mahakamani na wao ili kumuonesha umwamba Mo. Kama hujui basi ujue kuwa hata Mo hajafuata katiba, hapaswi kuchukua hisa 49 peke yake, na katiba ya Simba haikupitishwa hivyo kisheria sio muwekezaji wa Simba lakini tukumbuke Mo alitamka kuwa kainunua Simba. Kufurahia hili ni kulikaribisha yawakute na nyie wa Simba.
Sisi Simba tunajua mo anatumia ubabe wa pesa na tumeridhia hilo. Tatizo la utopolo kwa akili zao wengi wanafikiri hersi/gsm yupo pale kikatiba kumbe ni ubabe. Yani utopolo ni kama nyani anayecheka kundu la nyani mwenzie akifikiri yeye hana kundu kama lile😅
 
Back
Top Bottom