TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,345
- 6,970
- Thread starter
-
- #41
Wewe sidhani kama una akili timamu!Hazina mashiko, Unaweza Vaa Kanzu bado ukaonekana Mwanaume, Unaweza Vaa Kaptula bado ukastili Uchi wako.
Kwanini unavaa suruali?
Nijaalie umri wako, Una Elimu gani kwanza maana ubushi wa kipumbavu kweli.
Umri wangu ni miaka 33Hazina mashiko, Unaweza Vaa Kanzu bado ukaonekana Mwanaume, Unaweza Vaa Kaptula bado ukastili Uchi wako.
Kwanini unavaa suruali?
Nijaalie umri wako, Una Elimu gani kwanza maana ubushi wa kipumbavu kweli.
Imagine kiongozi mwenye cheo hujavaa soksi na unadunda kama kitenesi 🚮Mpuuzi ww hojaless kabisa
Hamna kiongozi hapo!Imagine kiongozi mwenye cheo hujavaa soksi na unadunda kama kitenesi 🚮
Samia ni Rais na sijawahi kuona amevaa Soksi!Imagine kiongozi mwenye cheo hujavaa soksi na unadunda kama kitenesi 🚮
Samia anavaa suti kila siku lakini chini havai soksi,Je,Yuko sahihi au hayuko sahihi?Vikaunda suti vifupi bila soksi siyo official dressing code.
Msipoteze muda kujadili na mtu ambaye ana majibu yake tayari.
Nikuulize tu mleta mada; Je, kwanini watu uliwasikia wakisemezana ya kuwa umevaa isivyo yaani kihuni?
Kila dressing code Ina mahala pake, hata Jakaya kipindi akiwa rais alikuwa akivaa jeans na raba akiwa off ( yaani hayuko kikazi) lakini ukiingia kwenye office ya umma lazima ufuate code za mavazi zilizo na heshima.
Umedai umejiajiri na haupelekeshwi na mambo ya mavazi na hapo hapo unasema wewe ni kiongozi, mbona hueleweki?
Usidhani hao watu ( umma ) walionung'unika na mavazi Yako ni wajinga Bali wewe pia jitathimini. Soksi ni moja ya kiambata muhimu Cha dressing style.
Mimi nikienda baa ninapiga jeans na t-shirt na raba ila mahala pengine hapana.
Kila vazi Lina sehemu yake,
Wewe na Samia mna jinsi sawa? Suti ya kiume na kike zinafanana?Samia anavaa suti kila siku lakini chini havai soksi,Je,Yuko sahihi au hayuko sahihi?
Ila chupi unavaa?Katika vitu sina time navyo ni soksi na mkanda.
huyu ni hp wa shule,...so mumsamehe bure tu wakuuKiongozi, ana cheo mahali, hajavaa soksi, anadunda kama kitenesi.....
Umekazana na soxxxyy si soxxyy!Wewe ni limbukeni na mshamba,nimekuuliza swali lakini unashindwa kujibu umebaki na blah blah zako tu!
Ni wapi mtu ambaye hakuvaa soksi amewahi kufikishwa mahakamani kwamba utendaji kazi wake ni mbovu?
Ni lini uvaaji wa soksi ukaongeza akili kichwani?
Aloyekwambia ukivaa suti ya kike hupaswi kuvaa soksi nani?Wewe na Samia mna jinsi sawa? Suti ya kiume na kike zinafanana?
Kijana badilika
Mwanaume yeyote anayevaa chupi Hana akili timamu!Umekazana na soxxxyy si soxxyy!
Mbona huongelei binamu wa soxy, chupi?
Kama unapiga vita kuvaa soxy ina maana hata chupi huvai wewe!
Unavaa suti bila chupi na bila soxy halafu unapotembea kende zinaruka ruka😁🤣🤣
Bado najihoji kwa mtu mzima kuja na kioja kama hiki jamvini ni kuwa unatutaniaa au upo serious!
Wacha uongo, Vaa soksi epuka ukimwiWa- mbulu na wa-Iraqi wote ni ndugu!
Wakuu kumekuwa na kasumba ya kwamba,kila unapovaa kiatu ni lazima uvae soksi!
Binafsi soksi nilivaa wakati nikiwa shule kwasababu ilikuwa ni lazima kwakuwa ilikuwa ni moja ya sare za shule!
Juzi moja nimeenda mahali fulani nikiwa nimekula suti (Kaunda suti ) ya mikono mirefu halafu chini sikuvaa soksi Bali nilipiga moka yangu safi nikawa nadunda kama kitenesi!,Kwakuwa Nina cheo mahali fulani !,nikawa nasikia maneno kutoka Kwa watu wangu wa karibu ya kwamba,eti wanazungumza kwamba kiongozi asiyevaa soksi ni Muhuni na hapaswi kuaminiwa!
Niliwashangaa sana watu wanaozungumza hivyo kwasababu wao yawezekana ndiyo wakawa na matatizo!
SABABU ZA WATU WENGI KUVAA SOKSI
1.Kama Urembo au utanashati!
2.Kubana vizuri mguu ndani ya kiatu!
Binafsi huwa nilivaa soksi nashindwa Kutembea vizuri kwasababu kiatu kinakuwa kama kinateleza!
Pia nikivaa soksi nakuwa nakosa uhuru wa kujiachia,!
Mwisho,naona kama kuvaa soksi ni Ushamba!
Kama mtaendelea kuniona Muhuni endeleeni kuniona Muhuni but siwezi kuvaa soksi kwasababu zinanikosesha uhuru!