Kutokuvaa soksi siyo uhuni!

Kutokuvaa soksi siyo uhuni!

Hazina mashiko, Unaweza Vaa Kanzu bado ukaonekana Mwanaume, Unaweza Vaa Kaptula bado ukastili Uchi wako.

Kwanini unavaa suruali?

Nijaalie umri wako, Una Elimu gani kwanza maana ubushi wa kipumbavu kweli.
Wewe sidhani kama una akili timamu!

Hebu niambie wewe kwanini unavaa suruali,labda kwakuwa wewe una akili timamu utaeleweka!
 
Hazina mashiko, Unaweza Vaa Kanzu bado ukaonekana Mwanaume, Unaweza Vaa Kaptula bado ukastili Uchi wako.

Kwanini unavaa suruali?

Nijaalie umri wako, Una Elimu gani kwanza maana ubushi wa kipumbavu kweli.
Umri wangu ni miaka 33

ELIMU yangu ni Bachelor of Mathematics
 
Soksi sokisi au soksi ndomu! Huenda umeshindwa kufungua code za wambulu
 
Vikaunda suti vifupi bila soksi siyo official dressing code.

Msipoteze muda kujadili na mtu ambaye ana majibu yake tayari.

Nikuulize tu mleta mada; Je, kwanini watu uliwasikia wakisemezana ya kuwa umevaa isivyo yaani kihuni?

Kila dressing code Ina mahala pake, hata Jakaya kipindi akiwa rais alikuwa akivaa jeans na raba akiwa off ( yaani hayuko kikazi) lakini ukiingia kwenye office ya umma lazima ufuate code za mavazi zilizo na heshima.

Umedai umejiajiri na haupelekeshwi na mambo ya mavazi na hapo hapo unasema wewe ni kiongozi, mbona hueleweki?

Usidhani hao watu ( umma ) walionung'unika na mavazi Yako ni wajinga Bali wewe pia jitathimini. Soksi ni moja ya kiambata muhimu Cha dressing style.

Mimi nikienda baa ninapiga jeans na t-shirt na raba ila mahala pengine hapana.

Kila vazi Lina sehemu yake,
 
Imagine kiongozi mwenye cheo hujavaa soksi na unadunda kama kitenesi 🚮
Samia ni Rais na sijawahi kuona amevaa Soksi!

Tatizo Watanzania wengi ukiwemo wewe ni wajinga!,Kwamba kuvaa soksi ndiyo unaonekana kiongozi!

Nimeuliza swali hapa lakini mnakaa mnabwabwaja tu bila majibu!

Swali

Kuvaa Soksi Kuna uhusiano gani na utendaji ofisini?
 
Vikaunda suti vifupi bila soksi siyo official dressing code.

Msipoteze muda kujadili na mtu ambaye ana majibu yake tayari.

Nikuulize tu mleta mada; Je, kwanini watu uliwasikia wakisemezana ya kuwa umevaa isivyo yaani kihuni?

Kila dressing code Ina mahala pake, hata Jakaya kipindi akiwa rais alikuwa akivaa jeans na raba akiwa off ( yaani hayuko kikazi) lakini ukiingia kwenye office ya umma lazima ufuate code za mavazi zilizo na heshima.

Umedai umejiajiri na haupelekeshwi na mambo ya mavazi na hapo hapo unasema wewe ni kiongozi, mbona hueleweki?

Usidhani hao watu ( umma ) walionung'unika na mavazi Yako ni wajinga Bali wewe pia jitathimini. Soksi ni moja ya kiambata muhimu Cha dressing style.

Mimi nikienda baa ninapiga jeans na t-shirt na raba ila mahala pengine hapana.

Kila vazi Lina sehemu yake,
Samia anavaa suti kila siku lakini chini havai soksi,Je,Yuko sahihi au hayuko sahihi?
 
Yeah kama ulienda hivyo ofisini basi we siyo muhuni ila ni mshamba maana hujajua kuvaa kulingana na mazingira
 
Wewe ni limbukeni na mshamba,nimekuuliza swali lakini unashindwa kujibu umebaki na blah blah zako tu!

Ni wapi mtu ambaye hakuvaa soksi amewahi kufikishwa mahakamani kwamba utendaji kazi wake ni mbovu?

Ni lini uvaaji wa soksi ukaongeza akili kichwani?
Umekazana na soxxxyy si soxxyy!

Mbona huongelei binamu wa soxy, chupi?

Kama unapiga vita kuvaa soxy ina maana hata chupi huvai wewe!

Unavaa suti bila chupi na bila soxy halafu unapotembea kende zinaruka ruka😁🤣🤣

Bado najihoji kwa mtu mzima kuja na kioja kama hiki jamvini ni kuwa unatutaniaa au upo serious!
 
Umekazana na soxxxyy si soxxyy!

Mbona huongelei binamu wa soxy, chupi?

Kama unapiga vita kuvaa soxy ina maana hata chupi huvai wewe!

Unavaa suti bila chupi na bila soxy halafu unapotembea kende zinaruka ruka😁🤣🤣

Bado najihoji kwa mtu mzima kuja na kioja kama hiki jamvini ni kuwa unatutaniaa au upo serious!
Mwanaume yeyote anayevaa chupi Hana akili timamu!

Chupi zilitengenezwa mahususi Kwa mwanamke wakati wa kuvaa pedi iwe rahisi chupi hizo kushikilia pedi hizo!

Sasa mwanaume unavaaje chupi?
 
ayo yote tisa habari gani mm ambaye huwa navaa suti na yeboyebo??......NB...niko hapa kwa FaizaFoxy namalizia kula chipsi maharage
 
Wa- mbulu na wa-Iraqi wote ni ndugu!

Wakuu kumekuwa na kasumba ya kwamba,kila unapovaa kiatu ni lazima uvae soksi!

Binafsi soksi nilivaa wakati nikiwa shule kwasababu ilikuwa ni lazima kwakuwa ilikuwa ni moja ya sare za shule!

Juzi moja nimeenda mahali fulani nikiwa nimekula suti (Kaunda suti ) ya mikono mirefu halafu chini sikuvaa soksi Bali nilipiga moka yangu safi nikawa nadunda kama kitenesi!,Kwakuwa Nina cheo mahali fulani !,nikawa nasikia maneno kutoka Kwa watu wangu wa karibu ya kwamba,eti wanazungumza kwamba kiongozi asiyevaa soksi ni Muhuni na hapaswi kuaminiwa!

Niliwashangaa sana watu wanaozungumza hivyo kwasababu wao yawezekana ndiyo wakawa na matatizo!

SABABU ZA WATU WENGI KUVAA SOKSI

1.Kama Urembo au utanashati!

2.Kubana vizuri mguu ndani ya kiatu!

Binafsi huwa nilivaa soksi nashindwa Kutembea vizuri kwasababu kiatu kinakuwa kama kinateleza!

Pia nikivaa soksi nakuwa nakosa uhuru wa kujiachia,!

Mwisho,naona kama kuvaa soksi ni Ushamba!

Kama mtaendelea kuniona Muhuni endeleeni kuniona Muhuni but siwezi kuvaa soksi kwasababu zinanikosesha uhuru!
Wacha uongo, Vaa soksi epuka ukimwi
 
Kwa mimi mtu anaevaa suti na viatu bila soksi naona hawi smart. Mbali na kuwa smart pia soksi zinasaidia kunyonya unyevu unyevu miguuni kuzuia harufu mbaya.

Soksi muhimu.
 
Back
Top Bottom