City hunter j
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 926
- 380
Habari zenu
Kama kichwa cha habari kisemavyo nipo nae Kwa takriban miaka minne sasa na kipindi chote tukikutana 100% tulikuwa tunaridhishana, lakini kwenye hizi siku za usoni kama miezi miwili hivi hari imekuwa tofauti sana kiasi kwamba mpaka namuonea huruma hasa huyu mpenzi wangu kwani nafanya maandalizi ya kutosha.
Lakini nikiingia tu dakika 0 tayari afu Jamaa anashtuka sawa baada ya dakika kadhaa lakini tatizo linakuja kwenye kuingia tena kwenye Ile sehemu husika nachelewa mpaka unakuta analala tena kabla hata ya kuona ufalme .
Na hii hali imetokea zaidi ya mara mbili nikawa na mawazo mengi sana na Kuanza kuhisi au Yale mambo yetu ya chips mayai, lakini mimi sio mtumiaji wa hicho chakula, mwezi unaweza pita sijakigusa.
Nafanya mazoezi (jogging) kila weekend na nakula vizuri.
Nikapata ushauri mmoja wa kijinga kwenda kutest kitu tofauti, honestly speaking ilikuwa kama nimetoka jela na vibaya sana nikarudia kama mara nne hivi kupata confidence, nipo vizuri sana.
Sasa kilio changu, sipendi kwenda nje na nilienda ili nipate uhakika tu kama Yaliyomo yamo kwa upande wangu kwa upande wake pia Nampa mawazo sana na maswali yasiyo na majibu kwa wazoefu wa ndoa na mahusiano ya Muda mrefu, madactari ect hii hari kama imewahi kukutokea je uliisolve vipi? Nampenda sana mpnz wangu na malengo yangu mwakani nianze kula halali (ndoa). Msaada kwenye tuta
Kama kichwa cha habari kisemavyo nipo nae Kwa takriban miaka minne sasa na kipindi chote tukikutana 100% tulikuwa tunaridhishana, lakini kwenye hizi siku za usoni kama miezi miwili hivi hari imekuwa tofauti sana kiasi kwamba mpaka namuonea huruma hasa huyu mpenzi wangu kwani nafanya maandalizi ya kutosha.
Lakini nikiingia tu dakika 0 tayari afu Jamaa anashtuka sawa baada ya dakika kadhaa lakini tatizo linakuja kwenye kuingia tena kwenye Ile sehemu husika nachelewa mpaka unakuta analala tena kabla hata ya kuona ufalme .
Na hii hali imetokea zaidi ya mara mbili nikawa na mawazo mengi sana na Kuanza kuhisi au Yale mambo yetu ya chips mayai, lakini mimi sio mtumiaji wa hicho chakula, mwezi unaweza pita sijakigusa.
Nafanya mazoezi (jogging) kila weekend na nakula vizuri.
Nikapata ushauri mmoja wa kijinga kwenda kutest kitu tofauti, honestly speaking ilikuwa kama nimetoka jela na vibaya sana nikarudia kama mara nne hivi kupata confidence, nipo vizuri sana.
Sasa kilio changu, sipendi kwenda nje na nilienda ili nipate uhakika tu kama Yaliyomo yamo kwa upande wangu kwa upande wake pia Nampa mawazo sana na maswali yasiyo na majibu kwa wazoefu wa ndoa na mahusiano ya Muda mrefu, madactari ect hii hari kama imewahi kukutokea je uliisolve vipi? Nampenda sana mpnz wangu na malengo yangu mwakani nianze kula halali (ndoa). Msaada kwenye tuta