Mkuu nilichosema na hoja yangu iko hapa: Channels na fields zote zinazo/zilizotajirisha watu mbali mbali zinajulikana na ukichukua list inayotolewa ya matajiri duniani na shughuli wanazofanya utakuta vitu kama software, real estate, etc kwa kifupi ni nyingi. Mbnona sijawahi kuona hata mmoja aliyetajirika kwa channel ya forex? (Kama wapo naomba unijulishe. Na naomba uniambia watu wanaojulikana rasmi na sio hawa wanaozungumzwa kama misukule inayofufuliwa ambayo ''inasemekana'' na ''haionekani'').
Mkuu mbona unakuja na gea za enzi za mawe! Hawa wapiga debe wa Forex ndio waliingia na hiyo gea ya ''mtu anayeitwa George Soros'' na wakaeleza mengi. Sasa ndugu yangu wewe unakuja na gea ilikyokwisha kupitwa na wakati ukifikiria ndio umeni-challenge kweli kweli! Ulikuwa jela?Nenda Google kasearch mtu anaitwa George Soros..... au waulize waingereza Who is George Soros
Asante sana. Kumbe hata wewe unakiri kuwa watu wengi wanafeli kwa sababu ya ugumu wa ''psychology of trading''. Na ndio hasa point yangu i.e. Forex ni biashara kama ''biashara'' ngumu kama nyingine! Sasa kisa cha kuwaunganisha tela watu ili wajiunge na Forex huku ukiwaaminisha ni njia rahisi ya mafanikio ni nini?Trading is all about psychology, na hapa ndio watu wengi walipofeli........... Hakuna uchawi mwingine
Wapo billionaires wengi waliofanikiwa katika forex,.... you may google it na hapo ndio utagundua kwamba hata huyo Soros siyo tajiri wa kwanzaMkuu mbona unakuja na gea za enzi za mawe! Hawa wapiga debe wa Forex ndio waliingia na hiyo gea ya ''mtu anayeitwa George Soros'' na wakaeleza mengi. Sasa ndugu yangu wewe unakuja na gea ilikyokwisha kupitwa na wakati ukifikiria ndio umeni-challenge kweli kweli! Ulikuwa jela?
Asante sana. Kumbe hata wewe unakiri kuwa watu wengi wanafeli kwa sababu ya ugumu wa ''psychology of trading''. Na ndio hasa point yangu i.e. Forex ni biashara kama ''biashara'' ngumu kama nyingine! Sasa kisa cha kuwaunganisha tela watu ili wajiunge na Forex huku ukiwaaminisha ni njia rahisi ya mafanikio ni nini?
Binafsi sijaona ujanja wowote, kilichopo ni kwamba katika spread kuna kiasi ambacho wanapata kama sehemu yao kwa ajili ya zile calls
Na kama mtu amefikia hatua ya kuwa independent trader wala hawana shida, unajitoa tu
Na mimi nakuambia google uangalie wapo wengi waliotajirika kwa software development!Wapo billionaires wengi waliofanikiwa katika forex,.... you may google it na hapo ndio utagundua kwamba hata huyo Soros siyo tajiri wa kwanza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nmecheka kwa nguvu..mkuu inaonekana una uchunguMkuu ahsante sana Kwa ufafanizi huu,
Ki Ukweli alichotufanyia Ontario mimi sina hata lakusema yote nimemwachia M/Mungu [emoji24] [emoji24] [emoji24]
labda broker A na B faida inaweza tofautiana
1. Katika mpangilio wako anza na technical then fundamental halafu sentiment iwe ya mwisho..... Fundamenta ila kosa kitu kimoja na ndio maana haiwezi kuwa ya kwanza. Ni ngumu kugundua effect za hiyo fundamental zitalast for how long. Kama umesoma Vitabu vya Mark Douglas sikumbuki kama ni Displined trader au Trading in the zones, amezungumzia hicho kitu.Forex Power
Trade to get financial freedom
All the best traders
OKNo ni customization tu, plus holded trade for motivation purpose
View attachment 724398
thumb up sikumaansha kuwa ule ndiyo mpangilio, technical>fundamental>sentiment kwanini??Katika mpangilio wako anza na technical then fundamental halafu sentiment iwe ya mwisho
nilikuwa sahihi you cant open big lot even if you got good setups, kuhusu leverage kuna aliyeigiza mjuaji akakutana na mimiNimeshtuka uliposema akaunti ikiwa na Equity kubwa inakuwa na Profit kubwa.
don trade to be a milionare just demand consistence millions will come itself but you are going into market because you want cheap money blowing a/c will be your usual business. Get itWapo billionaires wengi waliofanikiwa katika forex,.... you may google it na hapo ndio utagundua kwamba hata huyo Soros siyo tajiri wa kwanza
mzee mi sina maigizo na mbali nahisi niko mpaka sasaukiacha maigizo utafika mbali jikubali then build up something.