Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
Kutokuwasiliana kwa viongozi wakuu wa ACT Wazalendo na CHADEMA kumewapa mwanya CCM kufanya watakavyo. Suala la mapingamizi ni suala nyeti hivyo linahitaji nguvu kubwa.
Kipindi Cha Korona mbowe alichachamaa Kila siku mfululizo na speech zake zilipatikana kirahisi kwenye social media. Iweje leo amekaa kimya . Iweje wagombea waende tume peke yao badala ya kwenda na viongozi wao.
Inawezekanaje kupata muda wa kuridhiana na TBC mkashindwa kupata muda wa kuweka presha kubwa kwa tume. Au Mbowe na Chadema mmekubali udhalimu huu wa kuengua wagombea?
Kazhia hii sio ya kushughulikiwa na chama kimoja. Zitto Mbowe ondoeni tofauti zenu kwa maslahi ya upinzani demokrasia na utu ustaarabu na maendeleo ya taifa.
Nawaagiza Mbowe Seif Lisu, Zitto kaeni pamoja itisheni mkutano na media. Pelekeni malalamiko yenu balozi na jumuiya za kimataifa . Toeni siku moja msifanye kampeni nendeni DODOMA kuwasilisha uhitaji wa majibu ya rufaa .
Mbowe kama mwenyekiti hukupaswa kugombea ubunge . Kugombea kwako kunaathiri sana mikakati na utekelezaji wa kampeni. Next time achia Jimbo Kama Mnyika.
Kipindi Cha Korona mbowe alichachamaa Kila siku mfululizo na speech zake zilipatikana kirahisi kwenye social media. Iweje leo amekaa kimya . Iweje wagombea waende tume peke yao badala ya kwenda na viongozi wao.
Inawezekanaje kupata muda wa kuridhiana na TBC mkashindwa kupata muda wa kuweka presha kubwa kwa tume. Au Mbowe na Chadema mmekubali udhalimu huu wa kuengua wagombea?
Kazhia hii sio ya kushughulikiwa na chama kimoja. Zitto Mbowe ondoeni tofauti zenu kwa maslahi ya upinzani demokrasia na utu ustaarabu na maendeleo ya taifa.
Nawaagiza Mbowe Seif Lisu, Zitto kaeni pamoja itisheni mkutano na media. Pelekeni malalamiko yenu balozi na jumuiya za kimataifa . Toeni siku moja msifanye kampeni nendeni DODOMA kuwasilisha uhitaji wa majibu ya rufaa .
Mbowe kama mwenyekiti hukupaswa kugombea ubunge . Kugombea kwako kunaathiri sana mikakati na utekelezaji wa kampeni. Next time achia Jimbo Kama Mnyika.