Uchaguzi 2020 Kutokuwasiliana kwa viongozi wakuu wa ACT-Wazalendo na CHADEMA kumewapa mwanya CCM kufanya watakavyo

ACT ni ccm kuungana na CUF, TLP, NCCR na TADEA ruksa, siyo CHADEMA.
 
Wewe ni kyuumaa sasa kama hawatashinda na wananchi wamewakataa kwanini mnawakata bila sababu za msingi? Wagombea wameporwa fomu zao,wagombea wametishiwa maisha,wagombea wamevamiwa usiku majumbani mwao,halafu wewe khanithi unasema wananchi hawatawachagua,hofu na mashaka ni ya nini?
Hakuna mpinzani atashinda Watanzania wamewakataa nyie vibaraka wa mabeberu Sexless,
 
Ulitegemea Mbowe afurahie Zitto kumyanganya KUB?
Kama haitoshi hata yule mzee nikinukishe haleti hamasa kama tulivyotegemea.
Mtaji uliobakia ni wa wabunge ili kutetea ruzuku.

Jambo la kujiuliza katika rufaa ya kupinga mapingamizi kwanini hakuna hata mmoja ya CCM?
Mbaya zaidi rufaa zao zimecheleweshwa wanashindwa kujipanga vizuri.
 
Hakuna mpinzani atashinda Watanzania wamewakataa nyie vibaraka wa mabeberu Sexless,
Media wenyewe wamewakataa, mtaitisha nani atakuja? endeleeni kujifurahisha na hao mamia wanaokuja kushangaa muujiza wenu unaotembea mkijidanganya ni kura.
 
Ulitegemea Mbowe afurahie Zitto kumyanganya KUB?
Kama haitoshi hata yule mzee nikinukishe haleti hamasa kama tulivyotegemea.
Mtaji uliobakia ni wa wabunge ili kutetea ruzuku.
Jambo la kujiuliza katika rufaa ya kupinga mapingamizi kwanini hakuna hata mmoja ya CCM?
Mbaya zaidi rufaa zao zimecheleweshwa wanashindwa kujipanga vizuri
 
Imechuja ya kutumiwa na Mabeberu kuuza raslimali zetu ?
Tutajie raslimali moja tu iliyouzwa hadi leo na wanunuzi ni nchi gani. CCM mwaka huu mtavaa pampasi ili mpate kubebwa maana si kuishiwa hoja namna hii
 
Majibu ya rufaa ya mapingamizi yatatolewa tarehe 10/09/2020 ngoja tusubili itakuwaje
Pamoja na ahadi hiyo bado pressure Kali inahitajika . Hata hiyo ahadi ya kutoa majibu tarehe 10 Ni zao la pressure ndogo iliyowekwa chama kimojakimoja . Hili swala lipigiwe kelele sisi wapiga kura hatujui Kama tarehe 10 ndio majibu.


Vyama vimeshindwa kuuhabarisha imma juu ya Nini kinaendelea na NEC wanafanya kusudi kutokuelezea sana habari za rufaa Kisha waje na surprise.

Hii Ina maana wale wakata rufaa hafanyi kampeni kwa Sasa na wengine wanaweza kununuliwa wajitoe .

NEC Ina helewa ili kusoma Hali ya upinzani katika majimbo ili wajue yupi wamuachie na yupi wamendelee kumngangania
 
Kwani kibatara hayupo?
Maana hayo mambo ni ya kisheria, na mpo na wanasheria wengi sasa wana kazi gani?
 
Viongozi wa ACT na Chadema wanashindana sana . Chadema wanajiona Wana nafuu kwa kutazama nyomi wasichojua ACT ikipata hata hivyo viti 10 vilivyobaki huko Pemba bado ACT atatoa KUB na huyo KUB sio Zitto kwani Zitto hatashinda kamwe.

Kwa kutumia wasanii CC M inakusanya nyomi na hizo nyomi zitatumika Kama justification ya kulpora ushindi
 
Chadema wabinafsi unafikiri nani wa kuungana nao? Uchaguzi uliopita vyama vilijitoa sana chini ya ukawa Chadema wakanufaika, likaja swala la kambi rasmi na ruzuku wakajimilikisha, hatujasahau ng'oo. Na mwaka huu Chadema wanapigwa kwenye box hadi aibu! Magu 5 tena
 
Huko ulikosomea kozi ya uchonganishi yaonekana ulifeli sana. Kama ni uongo bandika cheti hapa.
 
Ebu ona tofauti hiyo kubwa ya ofisi za makao makuu kati ya vyama hivuo wiwilo [emoji116]
 
Hivi hao waliowekewa pingamizi idadi yao hata kama wakishinda wote wanaongeza au wana impact gani na ushindi wa 83%?
 
Kwani yale maandamano ya nchi nzima kabla ya mikutano ya kampeni kuishinikiza tume hayapo tena? Au yamegonga mwamba?
 
Kwa hiyo unakiri hadharani kuwa CCM wanatoa rushwa/kununua wapinzani?
Hakuna aliyeporwa fomu Mkuu, wagombea wengi wa Upinzani ni njaa kali walijikosesha makusudi ili wafanye biashara nyuma ya pazia

Unaambiwa wagombea wengine walijikosesha kujaza fomu ili wasiteuliwe na tume Kwani wanajua hawatashinda Uchaguzi
 
Zitto amejitahidi akitegemea Membe ataongeza kasi ya viti vya ubunge,lakini mambo ni kinyume.
Chadema nayo inatembeza bakuli kiholela bila plan.
CCM wanahubiri 100% ushindi bara wakidai hawako tiyari kushirikiana na wabunge na madiwani wa upinzani kuendeleza nchi.
Lakini kilicho wazi wapinzani wakubwa wamegawanyika.Wapinzani wadogo nao wameshindwa kuvuma sababu ya mtaji.
 

Kwanini Lisu aliweka pingamizi. Ila vichwa vya watu wa aina yako sijui vina Nini. Huwa hamjishtukii mkijipinga.
 
Watu hawaelewi Jambo moja kuwa Chadema Ni brand kubwa . Kama Membe angekwenda CDM nae angevuma. Hata Lowassa watu wanashani alikuwa na nyombi zake binafasi , la hasha. Chama kilikubalika sana kipindi kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…