Niambie Ni Chama gani Cha upinzani Kuna demokrasia? Niambie viongozi wa vyama vya upinzani na wagombea Ubunge wa majimbo na vitimaalumu kwenye hivyo vyama vya upinzani wanapatikana kwa namna gani?Kama si kuteuana tu kwa kujuana,Rushwa na uhuni. Sasa Kama umeshindwa kujua demokrasia iliyopo kwenye vyama vya upinzani huwezi kujitambua wewe bilashaka wewe ni GUNZI