kipusi
JF-Expert Member
- Sep 29, 2015
- 443
- 75
Kumekuwepo na mdororo wa bei za mazao kwa wakulima je kuna tatizo gani na Je Bodi za mazao zina msaada gani kwa wakulima kwa upande wa masoko?
Kumekuwapo na malalamiko ya sehemu kubwa wakulima wengi kukokosa masoko mazuri ya uuzwaji wa mazao yao kama mahindi, mbaazi, kahawa n.k
Wadau nashuka mezani nikiwa nasubiri maoni yenu!
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumekuwapo na malalamiko ya sehemu kubwa wakulima wengi kukokosa masoko mazuri ya uuzwaji wa mazao yao kama mahindi, mbaazi, kahawa n.k
Wadau nashuka mezani nikiwa nasubiri maoni yenu!
ASANTENI
Sent using Jamii Forums mobile app