Kutokwa na damu baada ya kufanya mapenzi..

"Weye" ndio lugha gani bwana mdogo. Siwezi kubishana na toto lilozaliwa guest. Kajifunze lugha kisha uje uandike vizuri sawa kijana.

WEYE "domo Basi" Kama ndio ungekua mtu wa kwanza kumpa ushauri Mtoa mada nadhani angekuwa amekufa Kwa UTAKATIFU wako wa Sheria na Maelezo yasio Na msingi.Wataalam katika Hii mada wameweza kumueleza namna ya kutatu matatizo ya dada yetu.Weye ni maneno tu.Kama WEYE ni Shehe,Padri,mchungaji Au Mwalimu wafuasi Au wanafunzi wako nawapa pole sana tu.Nakama unabisha rudia kusoma matapishi yako yote ktk Hii mada Halafu utaona ulikwenda shule kusomea ujinga.
 
style zote but sanasana doggystyle and ndo inaniumiza adi niweke mto tumboni
Atakutindua kizazi huyo.
Kama ana maumbile makubwa msifanye hiyo style....kumbuka kizazi ni chako mamie....

Anyway pia nenda hospital kacheki kama kuna infection yotote....
 
Pole sana
Umejitahidi kuwa muwazi.
Ni vyema kwani utazidi kupata ushauri
Mzuri.
Zingatia masharti hakika utapona.
 
yes.once..nilitumia vidonge nimesahau jina lake niliingiza ukeni but niliumia sana tumbo na najuta ctokuja Kurudia.but ilikua 2013.so any help?
Ukweli unakuweka huru... safi sana..

Inawesekana hizo dawa zinaitwa MISOCLEAR... ukiemba dukani watu huita miso
 
Watu banaa..
Kwa hiyo unataka atoe uthibitisho kwamba alibakwa ndo uamini..??! Haya nini kinakuaminisha kwamba kweli alitoa mimba..? Kakupa ushahidi?
 
Ninaomba Mungu akubariki sana, maisha haya ni mtihani, acha tu, ni rahisi sana kuongea, acha tumuombee Heri, maana ayasemayo yanaipendeza nafsi yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…