LUBEDE
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 4,320
- 6,686
Wakuu,wataalamu wa afya,kama nilivyoandika hapo juu,mke wangu ni mjamzito,lakini ana tatizo limejitokeza leo mara ya pili,mwezi uliopita ujauzito wake ulikuwa na miezi mitatu.
kuna siku zilimtoka damu tukashtuka sana,hiyo hali haikuendelea tena ila leo mchana imejirudia,je nini chanzo au sababu ya kutokea hali hii?ni kawaida au ni kwa mke wangu tu?
Nimeamua niulize ili nijue kama ni tatizo ili kesho nimuwahishe hospitali,naombeni msaada wenu nieleweshwe,imenichanganya kidogo wakuu!
kuna siku zilimtoka damu tukashtuka sana,hiyo hali haikuendelea tena ila leo mchana imejirudia,je nini chanzo au sababu ya kutokea hali hii?ni kawaida au ni kwa mke wangu tu?
Nimeamua niulize ili nijue kama ni tatizo ili kesho nimuwahishe hospitali,naombeni msaada wenu nieleweshwe,imenichanganya kidogo wakuu!