Victor Bravo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 265
- 241
Habari wakuu wa jukwaa hili
Nimejitokeza hapa nina walau maswali mawili, moja ivi nini kinasababisha mtu kutokwa na jasho saana hasa maeneo ya kwapa wengine mgongoni.. Yaani unakuta mtu katembea tu umbali mfupi saana lakin mgongo wote umeloa au kwapa lote limeloa, naomba kujua je ni mwili unakua na shida au ni kawaida tu ya maumbile
NB. Jasho hili linakua la kawaida tu sie lile la harufu kaali, hili hata ukikaa naye usikii kikwapa wala harufu ya kukera.
Swali la pili
Inatokea mtu ni smart sana anaoga vizuri hata mara tatu kutwa au zaidi na anajisugua vyema kabisa lakini kwenye nywele za kwapa au sehemu za siri kunakua na zile nywele zenye utando utando mweupe ivi, japo na zenyewe hazitoi harufu ya kuukera I mean kikwapa. Je shida ni nini inawezekana tatizo hili likaisha?
Shukrani.
Nimejitokeza hapa nina walau maswali mawili, moja ivi nini kinasababisha mtu kutokwa na jasho saana hasa maeneo ya kwapa wengine mgongoni.. Yaani unakuta mtu katembea tu umbali mfupi saana lakin mgongo wote umeloa au kwapa lote limeloa, naomba kujua je ni mwili unakua na shida au ni kawaida tu ya maumbile
NB. Jasho hili linakua la kawaida tu sie lile la harufu kaali, hili hata ukikaa naye usikii kikwapa wala harufu ya kukera.
Swali la pili
Inatokea mtu ni smart sana anaoga vizuri hata mara tatu kutwa au zaidi na anajisugua vyema kabisa lakini kwenye nywele za kwapa au sehemu za siri kunakua na zile nywele zenye utando utando mweupe ivi, japo na zenyewe hazitoi harufu ya kuukera I mean kikwapa. Je shida ni nini inawezekana tatizo hili likaisha?
Shukrani.