chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Asante sana mkuu mana anasema kimetoka kidogo baada ya kusukuma sana mtoto atokeMkuu hiyo ni bawasili na huwa kuta aghalabu wamama tangu wakiwa wajawazito hasa kipindi ambacho anapata choo kwa shida na hata wakati wa kujifungua.
Ingawa huu ugonjwa huwapata hata wasio wajawazito hivyo nashauri mpeleke hospital wakaangalie hiko kinyama kimetoka kwa ukubwa gani ili wampe tiba stahiki maana kuna dawa za kuweka huko nyuma kama tatizo sio kubwa sana au kufanya upasuaji kuondoa hiko kinyama.
Pole sana mkuuUgonjwa hatari sana kuna mh. ulimuua baada ya upasuaji.