Kutokwa na maziwa wakati huna ujauzito na wala hujazaa

Kutokwa na maziwa wakati huna ujauzito na wala hujazaa

kutokwa na maji yanayofanana na maziwa na ni mepesi katika nyonyo la mwanamke.Hajazaa na hana mimba.Msaada wenu tafadhali
mmmmh!na wewe na yule mhadhiri wako mliishia kuvutana tu kweli!!hebu chukua kile kipimio cha kudumbukiza kwenye mkojo!!!
 
mmmmh!na wewe na yule mhadhiri wako mliishia kuvutana tu kweli!!hebu chukua kile kipimio cha kudumbukiza kwenye mkojo!!!

Ebu na ww usinitie joto mie na huyo muhadhir......na wala si mada husika.Hiyo inshu huwa inanitokea hasa napokaribia kubleed.Na si kwamba yanatoka ila ukikamua unaona kama viziwa hiv.Umeng'ang'ania muhadhir.
 
Jaman huyu mtu ana tatizo,!! Mie naomba kiwekwe kitufe cha sijui ili kama mtu hajui kitu abonyeze hapo akwende zake.
Kuliko michango isiyo na tija

Sawasawa! Kitufe kingine kiseme I Don't Like. Itakuwa safi sana.
 
kukosa hedhi kunaweza kuambatana pia na¡¤ Matiti kutoa maziwa wakati mwanamke si mjamzito na wala hanyonyeshi, maumivu ya kichwa na matatizo katika kuona vitu ambavyo kwa pamoja vinaweza kuashiria uwepo wa uvimbe katika ubongo¡¤ Mwanamke kuwa na nywele na vinyweleo vingi mwilini nakuota ndevu kama mwanaume hali inayoashiria kuwepo kwa wingi kwa homoni za kiume za androgen. angalia HAPA.MiaCC; miss strong.
 
Last edited by a moderator:
kutokwa na maji yanayofanana na maziwa na ni mepesi katika nyonyo la mwanamke.Hajazaa na hana mimba.Msaada wenu tafadhali

Nakushauri uonane na daktari bingwa wa wanawake...inaonekana sio kawaida
 
Back
Top Bottom