Kutokwa na maziwa

Na demu wangu nipo nae mwaka wa tano napo mwandaa chuchu zake zinatoa maziwa sana
 
Lakini kwa sasa maziwa haya toki tena na jana kaingia bleed,cna uhakika kama ingetoa mimba angeingia bleed hv karibuni.
Kama umeweza kudhibidisha kuwa hizo damu ni za mwezi, thats fine. Lakini ufahamu pia kuna utoaji mimba mbaya ambao unaweza kusababisha damu kushuka kwenye K.
Cha msingi mngetafuta daktari mzuri wa hayo mambo amfanyie utafiti wa kina na kama kuna tatizo amtibu ili asije akadhurika baadae.
 
Naomba unijibu haya maswali nipate cha kukusaidia
1)Hayo maziwa yametoka kwa muda gani?
2)vipi mwezi uliopita afya yake ilikuwaje?
3)mwezi uliopita alipata period?kwa tarehe muafaka?
4)unajua kitu gani kilimfanya apungukiwe damu?

maziwa yametoka kwa siku mbili.
@ Afya yake kwa mimi nlivokua namuona alikua poa so cjui kama alikua ananificha
Yap period ilikua tarehe zenyewe
damu just nliona viganja vyake viko xtrmly vyeupe tofauti na kawaida so nkamshauri akacheck kwa dr.ni hvo mkuu.
 
Last edited by a moderator:

ntafanyia kazi ushauri mkuu,asante.
 
This is ma hood ilove jf,kiukweli nlikua na mawazo mengi bt majibu nlo yapata hapa nadhani nmeridhka,nahisi ntafanya maamuzi magumu,ibelieve anythng made/created cn also be destroyed.sioni cha kufia hapa.. Nadhani ntakuja na uzi mpya wa kutafuta kimwana hapahapa nymbani jf.
 
sawa kama ni hivyo,lakini hizo siku mbili alizotoka maziwa zimepishana vipi na siku alipoanza period?yaan ametoka maziwa siku mbili kabla ya period na alipoanza period yamekata au imekuwaje?
 
No hizo ni hormones tu ninakuhakikishia i knw such cases very well wengine anapofikisha 16 unakuta yanaanza nothing to worry about, kwa ushauri zaidi muone daktari
 
Haina haja ya kufika huko inawezekana ni hormones tu
 
Ni vizuri kuonana na daktari na inawezekana ni mabadiliko ya hormones. Just for expanding our knowledge kama alikuwa anatumia dawa ni vizuri akakueleza ili mnapoenda kwa daktari hilo pia liwekwe wazi kwani kuna baadhi ya dawa zinasababisha maziwa kutoka (mf domperidone), Kunyonywa nipples mara kwa mara ni mojawapo ya sababu ya maziwa kuweza kutoka, (njia hii hutumiwa hasa na akina mama walio'adopt' watoto).Na miscarriage/abortion. Goodluck
 

Kaa nae umuulize vizuri. Vipimo vya pamoja ni muhimu.
 
Kama upo dsm, mpigie dr usiri 0713575595 akupe appointment. He is a breast surgeon. Atakupa ushauri wa vipimo (cytology na kama ikihitajika histology). Google kuhusu ductile papilloma ili ujue maswali ya kumuuliza dr. All the best.
asante,ithnk kesho j5 ndo ntapata mda mzuri niende hospital,ntashukuru kma utanambia hospital nzur kwa hali kama hyo.
 
Mimi yalishanikuta hayo wakati niko ktk mchakato wa kumtafuta wa kuishi nae,kwani siku moja tukiwa kwenye malovii nilijikuta navuta maziwa kabisa maana huwa napenda kunyonya chuchu za warembo.Kumuuliza hakuwa na jibu ,nilivyo re call one wk history ni kwamba aliumwa sana tumbo akasema ni period .Nikadadisi kwa rafiki yake akaniambia full abortion ,nikapiga chini.
 
Kaka dalili kama
kupungukiwa damu
kutokwa na maziwa nidalili za mimba
ushauri
nenda nae hospitari mkapime ujue mwenzi wako anaumwa nn?
 
Umeingia mkenge. Hakuna cha ulokole wala ulalakuwa, chambo tu. Na wewe umekimeza pamoja na ndoano, mshipi na chubwi.

Wenzako wala wewe waliwa.
 
duh..namuonea huruma sana uyo msichana,guyz tusipende kuconclude vitu kiasi hiki.kwa wale wa jinsia ya ke tuliyeona kama huyo binti katoa mimba sote ni wanawake leo kwa mwenzio kesho kwako,wale wa jinsia ya me tutapata watoto wa kike huenda tutajifunza toka kwao.Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza imeniuma sana coz niliwah pata tatizo ambalo kwa kumuelezea tu mtu moja kwa moja anaconclude ni abortion ila sivyo ilivyokuwa ukweli ulibaki kati yangu,mungu na dokta aliyenitibu.Sisi wanawake tunamatatizo mengi.
Kaka mpendwa kama unampenda mpenzi wako kwa dhati achana kabisa na mawazo hayo mabaya.kikubwa wewe amini anachokuambia...nina rafiki yangu chuchu zake hutoa maziwa na kuuma tena mara nyingi tu ila sio kwamba katoa mimba ni hormones tu.na suala la uyo mpenzio kupima mimba ni jambo la kawaida.dokta sio mungu kwamba ajue the exactly problem bila kupima so lazima atapima vipimo mbalimbali ili ajue tatizo liko wapi.Muamini mwenzio
 

Hakuna cha kufanywa zombie ila ukweli anao mpenzi wako huyo.
 
Kama upo dsm, mpigie dr usiri 0713575595 akupe appointment. He is a breast surgeon. Atakupa ushauri wa vipimo (cytology na kama ikihitajika histology). Google kuhusu ductile papilloma ili ujue maswali ya kumuuliza dr. All the best.

asante king'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…