Habari wana JF,
Naomba msaada wenu tafadhali, kwani mke wangu ni mjamzito wa miezi saba sasa. Ameanza kutokwa na mkojo bila mpangilio leo hii na wala haumuumi! Je ni hali tu ya kawaida au kuna tatizo hapo? Ni uzazi wake wa 3 sasa na ana miaka 35.
Naombeni msaada na ushauri pia.
Naomba msaada wenu tafadhali, kwani mke wangu ni mjamzito wa miezi saba sasa. Ameanza kutokwa na mkojo bila mpangilio leo hii na wala haumuumi! Je ni hali tu ya kawaida au kuna tatizo hapo? Ni uzazi wake wa 3 sasa na ana miaka 35.
Naombeni msaada na ushauri pia.