Kweli kitu cha kwanza kbs mpeleke hosp,.ila hiyo kitu pia inatokana na kuzaa mfano zaid ya watoto watatu wanawake wengi misuli ya uke inalegea,hata kama mwanamke hana mimba anakua anakojoa kojoa mara kwa mara mara anajikuta vikojo vimetoka kabla hajafika chooni,hilo tatizo pia linawatokea wanawake wengi wajawazito mimba ikiwa kubwa but mimi sio dokta kwahiyo cjui zaidi sababu za kitaalam hiyo ni kutokana na uzoefu wangu kwani hata dada yangu alikua hivyo tena yeye kila mara anabanwa mkojo n mkojo unaotoka ni mdogo