Yah kapime gono kabisa mkuu na damu VDRLMakubwa zinaa tena
Mkuu hali hii humtokea pindi anaporudia tu hali ya kupiga punyeto otherwise akiwa hafanyi na kunywa maji mengi hiyo hali haipati na mkojo uwa wa kawaidaUrinary Tract Cancer hiyo... Haina tiba. Mjomba wangu pia alikufa mwaka jana kwa tatizo hilo.
Mkuu hali hii humtokea pindi anaporudia tu hali ya kupiga punyeto otherwise akiwa hafanyi na kunywa maji mengi hiyo hali haipati na mkojo uwa wa kawaida
Nieleze kidogo kuhusu
URINARY TRACT CANCER
Acha kumuogopesha, aende hospital akapime kwanza..... ila sidhani kama n tatizo kubwa saanaUrinary Tract Cancer ni ugonjwa wa njia ya mrija wa mkojo (Urethra) kutoa usaha ambao ukichanganyika na mkojo halisi unakua wa njano, mgonjwa hukojoa lakini hamalizi mkojo wote.
Spika wa Binge Samuel Sitta alikufa kwa ugonjwa huu...
Producer Roy (aliyetengeneza beat ya Chungwa ya Sumalee) alikufa kwa ugonjwa huu..
Cancer hii haina tiba mpaka hivi sasa. Mjomba wangu pia alikufa kwa kukosa tiba
Acha kumuogopesha, aende hospital akapime kwanza..... ila sidhani kama n tatizo kubwa saana
Mungu anakuona... sio vizuri..... kwan yy amesema anatoa usaha????Lazima afe. Hakuna tiba.
Kuna watu Wana roho mbaya yani mtu Ana komalia mwenzake lazima afe.Lazima afe. Hakuna tiba.
Syphillis kaitoa wapi wakati mtu wa Punyeto?Syphilis alikua nayo akatumia AZUMA