dos santos
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 256
- 128
Masai Dada kumbe upo huku?ni tatizo
ngoja wataalamu waje
Kisonono
Masai Dada kumbe upo huku?
Tatizo la fangas hilo!habari,Ni nini sababu ya mwanamke kutokwa na uchafu mweupe sehemu za siri. Uchafu huo ni kama mtindi.Na unaambatana na muwasho sehemu za siri. Je tatizo ni nini na tiba yake ni nini? Msaada wataalamu
je kushiriki ngono na mtu mwenye tatizo hilo kunaweza kukuathiri?
Na mwanamke anaweza kuathirika zaidi kwa kuendelea kufanya ngono katika hali hiyo?
Na tatizo hilo husababishwa na nini? Nini kinga na Tiba yake?
Kumbe ndio maana kuna madokta bingwa kwa magonjwa ya wakina mama.....