babamtarajiwa
Member
- May 15, 2017
- 73
- 37
bro niweke picha tena mbona maelezo yanatosha kabisaWeka picha ili hivyo vinyama vionekane..
bro niweke picha tena mbona maelezo yanatosha kabisa
Asante mkuu, nimefanya hivo kutoka kuwa naamin humu kuna wataalamu ila, nashukuru kwa uahauri wakoPole kaka...nakushauri nenda hospitali ...huu ushauri Wa kwenye mitandao wakati mtu sio docta na hajakuona physically sio mzuri
germve himself
Mr. Asante,Mkuu kama sikosei izo zinaitwa genital warts niliwah kuzipata miaka mitano iliyopita nikiwa Arusha , nashukuru nilipata mtaalam akanipa dawa flan IPO kama penseli unagusisha kwenye ivyo vinyama vinakauka na kutoka inakuwa ndio umepona . Ila ishu za huko ni complicated ni vyena ukarnda kwa specialists ukamuonyesha akakupatia tiba na kwa vitu vya aina hiyo isiwe bahili kabisa jaribu kwenda sehemu ambayo utapata huduma ya uhakika. Kama IPO Dar nenda Sanitas binafsi napaamin sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji115] asante [emoji116] nitaenda mr. Igundupole sana, usicheleweshe tiba magonjwa ya huko bhana sio mazuri kuishi nayo kwa kipindi kirefu
IPO pale Mikocheni kwa warioba kwenye jengo linaitwa Baraka house gorofa ya tatu.Mr. Asante,
Nimekupata hiyo hospitali ipo wapi maana nipo dar maana vinanikosesha raha kwel
Kwel Kabisa, sasa sijajua mantiki yake kutaka kuona nin hasa wakati mada ipo waziPouwa humu hautapata suruhisho zuri zaidi ya kejeri japo wachache watakufariji si unajua wabongo tulivyo maana unaona mwingine anakwambia upige picha uiposti wakati Mada imejulikana
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo jengo nalifahamu shukrani sana nitaendaIPO pale Mikocheni kwa warioba kwenye jengo linaitwa Baraka house gorofa ya tatu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa mkuu
Unaweza kutumia bima kama unayo.Hilo jengo nalifahamu shukrani sana nitaenda
Yeah bima ninayo bima ya NHIF wanaikubali?