babamtarajiwa
Member
- May 15, 2017
- 73
- 37
Habari poleni na majukumu, naamini humu kuna wataalamu mbalimbali ambao, kimsingi kwa namna moja au nyingine wanaweza nisaidia tatizo langu iko hivi.
Siku kadhaa hivi karibuni nimegundua ktk uume wangu nimetokwa/ kuna vinyama vimeota pembeni sasa sijajua vina sababishwa na nini naomba msaada wenu wenye ufahamu wa hili tatizo
Siku kadhaa hivi karibuni nimegundua ktk uume wangu nimetokwa/ kuna vinyama vimeota pembeni sasa sijajua vina sababishwa na nini naomba msaada wenu wenye ufahamu wa hili tatizo