Kutokwa na vinyama sehemu za siri(ktk uume)

Kutokwa na vinyama sehemu za siri(ktk uume)

Mkuu kama sikosei izo zinaitwa genital warts niliwah kuzipata miaka mitano iliyopita nikiwa Arusha , nashukuru nilipata mtaalam akanipa dawa flan IPO kama penseli unagusisha kwenye ivyo vinyama vinakauka na kutoka inakuwa ndio umepona . Ila ishu za huko ni complicated ni vyena ukarnda kwa specialists ukamuonyesha akakupatia tiba na kwa vitu vya aina hiyo isiwe bahili kabisa jaribu kwenda sehemu ambayo utapata huduma ya uhakika. Kama IPO Dar nenda Sanitas binafsi napaamin sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu upo sawa ulitumia cáustic pensel hahaha huu ugonjwa utapma gono hakuna, kaswende hakuna dadek

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom