Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Umeandika mengi kuonyesha Kwamba Qur'an imekosea, kwa bahati mbaya badala ya ku disprove Qur'an umedhihirisha tu ujinga juu ya Qur'an (means huijui ila umekariri articles ukaona ndiyo ushajua Qur'an tayari)

Kwa mfano hapo juu unadai kwamba Qur'an inasema "Earth has been spread out like a carpet"

Ipo hivi, Kiswahili ni lugha ambayo imechukua baadhi ya maneno ya kiarabu, na miongoni mwa maneno hayo ni neno "Ardhi"

Sasa, kwenye hiyo Aya limetumika neno la kiarabu ARDHI" Kwamba ardhi imetandazwa kama carpet...

Sasa nikuulize, ardhi haijatandazwa kama carpet?!,

Kwenye English sometimes Ardhi inakua referred as to Earth (Dunia), na hiyo ndiyo iliyokupeleka chaka.... Lakini kwenye kiarabu "DUNIA" na "ARDHI" ni vitu viwili tofauti kama ilivyo kwenye kiswahili...

NB: Sidhani kama ikiwa kitabu ni cha uongo, itabidi utunge tena uongo dhidi yake,... Bali utatumia uongo ambao tayari umeugundua ku disprove kitabu hicho, so mpaka hapo usha prove failure
Tu assume Mimi ni ignorant wa Quran siijui sawa NIMEKUBALI.

Kama alimaanisha Ardhi (Earth's crust) bado hayuko sahihi haijatandazwa kama carpet. Pata knowledge ya plate tectonics kwanza utaelewa kosa hapo.

Haya kabla hatujaendelea na yale maandiko mengine mawili yaliyobaki pale nielekeze huenda nimepotezwa na tafsiri.

Ukimaliza hapo nitaleta na maandiko mengine tuendelee. Usiwe na wasiwasi kuleta quotation za Arabic pia.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Unajua Mkuu nilichogundua ndani ya akili yako tayari kuna CORE ngumu sana uliyokuwa nayo, kwa maana tayari una matokeo yako uliyoyaandaa ambayo hayawezi kubadilishwa.

Kumuamini MUNGU ni IMANI ambayo mtu anayo (hofu) juu ya uwepo wa mola wake mlezi, wewe unachokitaka tukupe ushahidi uonekanao juu ya uwepo wake wakati huo sisi hatuna ACCESS hiyo.

Nafikiri hii vita kwako itakuwa rahisi Kushinda coz imani niliyonayo mimi wew hauna, kama ambavyo nilivyokuwa mimi imani yako mimi sina. Nafkiri access iliyobaki upate tu bahati ya KUFA, hapo kitakachofuata nafikiri utaamini moja kwa moja.

Lastly, tufanye hivi; imani tuifanye iwe namba 6. Mimi NAAMINI kwamba Mungu yupo, nitakaa nyuma ya 6. Wewe hauamini kama MUNGU ypo utakaa juu ya 6 utaiona 6 imekuwa 9.

Wote tupo sahihi yaani tupo kwenye namba 6, ila kutokana tuna imani tofauti ndo maana 6 inabilika kuwa 9 ila yote ni 6, tofaut ni standing position.
Mimi sitaki habari za kuamini, I don't rock with that sh!t

Mimi nataka facts

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?
 
Well, je mungu anapinga hyo misingi minne uliyoiamini ??

Na je bila ya kuwepo watu wenye hofu ya MUNGU hyo misingi itasimama, hivi hauoni kama sehemu zenye watu wamuaminio MUNGU ndo hiyo misingi minne inapatikana??
Mi sijawahi kuonana na Mungu Kwa njia yoyote (kimwili Wala kiroho, wengi wanadai wameongea nae kiroho) Ile japo kulingana na maandiko mnayodai ni yake hii misingi imehimizwa kwenye baadhi ya maeneo sikatai hili.

Hizi ni data za research ya Gallup international mwaka 2017 nchi zinazoongoza Kwa watu wasioamini uwepo wa Mungu. Hali ya amani kwenye hizi nchi unaionaje?

China - 91%
Japan - 87%
Sweden - 78%
Czech Republic - 76%
United Kingdom - 73%
Belgium - 72%
Estonia - 72%
Norway - 70%
Australia - 69%
Denmark - 68%

Nchi kumi zenye idadi kubwa ambao ni waislamu (nimechagua kwasababu naona wewe kama muislamu). Hali ya Amani kwenye hizi nchi unaionaje ukilinganisha na zile zenye asilimia kubwa ya watu wasioamini mungu?

Indonesia (231,000,000)
Pakistan (212,300,000)
India (200,000,000)
Bangladesh (153,700,000)
Nigeria (95,000,000–103,000,000)
Egypt (85,000,000–90,000,000)
Iran (82,500,000)
Turkey (74,432,725)
Algeria (41,240,913)
Sudan (39,585,777)

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Tu assume Mimi ni ignorant wa Quran siijui sawa NIMEKUBALI.

Kama alimaanisha Ardhi (Earth's crust) bado hayuko sahihi haijatandazwa kama carpet. Pata knowledge ya plate tectonics kwanza utaelewa kosa hapo.

Haya kabla hatujaendelea na yale maandiko mengine mawili yaliyobaki pale nielekeze huenda nimepotezwa na tafsiri.

Ukimaliza hapo nitaleta na maandiko mengine tuendelee. Usiwe na wasiwasi kuleta quotation za Arabic pia.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Daah mbona una complicate Mkuu, Ardhi na Earth's crust ni wapi na wapi? Mbona unachanganya mambo?

Ardhi ni hii ambayo unakanyaga kila siku, na kwa uhalisia macho yako yanaona kabisa it's spread out(imetandazwa kama carpet)

Kubali hapo kwanza umekosea, Ili tuendelee na hayo mengine.
 
Daah mbona una complicate Mkuu, Ardhi na Earth's crust ni wapi na wapi? Mbona unachanganya mambo?

Ardhi ni hii ambayo unakanyaga kila siku, na kwa uhalisia macho yako yanaona kabisa it's spread out(imetandazwa kama carpet)

Kubali hapo kwanza umekosea, Ili tuendelee na hayo mengine.
Si complicate chochote mbona geography ya kawaida tu hiyo. Ardhi Kwa lugha ya wenzetu unaweza kusema Land au Ground kijiografia ndio Earth's crust yenyewe

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
3. Maziwa ya n'gombe hayatoki kwenye matumbo, mammary glands zinazoleta maziwa ziko mbali na sehemu ambayo Quran inasema maziwa yanatokea. Pia hayo maziwa sio "pure" kama ambavyo Quran inasema Kuna bacteria wakutosha tu ndo maana Kuna kitu tunaita "pasteurization" kwa ajili ya kuyasafisha.

Quran -16:66 :Surely there is a lesson for you in the cattle: We provide you to drink out of that which is in their bellies between the faeces and the blood - pure milk - which is a palatable drink for those who take it.




Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app


Hii nayo ni chai nyingine au labda huenda huna uhakika na arguments zako,
Ipo hivi., Mammary glands zipo karibu na "Digestive System" na ndiyo maana Qur'an ikasema Maziwa yanazalishwa kwenye location iliyopo between"Faeces &Blood" Sasa uongo upo wapi hapo?

Na Maziwa ni kinywaji safi tu,... Hata usipofanya the so-called Pasteurization hupati madhara ukinywa, ushahidi ni kwamba most of people's Wana consume raw milk bila pausterization na hamna side effects zozote ikiwezekana kafanye research kwenye Jamii za wafugaji huko.

⤵️
The Quran verse 16:66 corresponds to science.
The verse states that milk is produced in the cow's stomach, between the feces and the blood. This is scientifically accurate. Milk is produced in the mammary glands, which are located in the cow's abdomen. The mammary glands are located near the digestive system, which is why the verse mentions the feces and the blood.

The verse also states that milk is a pure and palatable drink. This is also scientifically accurate. Milk is a nutritious beverage that is rich in protein, calcium, and other essential nutrients. It is also a good source of probiotics, which are beneficial bacteria that can improve gut health.
 
Daah mbona una complicate Mkuu, Ardhi na Earth's crust ni wapi na wapi? Mbona unachanganya mambo?

Ardhi ni hii ambayo unakanyaga kila siku, na kwa uhalisia macho yako yanaona kabisa it's spread out(imetandazwa kama carpet)

Kubali hapo kwanza umekosea, Ili tuendelee na hayo mengine.
Unachokiona kwa macho kimetandazwa kama carpet kiuhalisia hakipo hivyo hii ni oversimplification ya hali ya juu ya jinsi Ardhi (Earth's crust) ilivyo.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Si complicate chochote mbona geography ya kawaida tu hiyo. Ardhi Kwa lugha ya wenzetu unaweza kusema Land au Ground kijiografia ndio Earth's crust yenyewe

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Kuna tofauti ya Land na Earth's Crust,. nadhani unafahamu hilo.

Lakini pia najua unafahamu kwamba, when Qur'an says "the land is spread-out like a carpet' " Imekusudia Land surface na sio Earth's crust

Earth's crust inajumuisha mpaka baharini huko, lakini tunapoongelea ardhi ambayo imetandazwa hata layman anajua kabisa ni ardhi ya Nchi kavu.
 
Unachokiona kwa macho kimetandazwa kama carpet kiuhalisia hakipo hivyo hii ni oversimplification ya hali ya juu ya jinsi Ardhi (Earth's crust) ilivyo.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Hapo umekariri Mkuu ,... Yani mlango wako wa fahamu(macho) unakuonyesha kabisa kwamba ardhi imetandazwa lakini huamini hivyo unataka uamini hadithi za kuambiwa.

Okay, kama Ardhi haipo spread-out like a carpet, je ipoje?
 
Hii nayo ni chai nyingine au labda huenda huna uhakika na arguments zako,
Ipo hivi., Mammary glands zipo karibu na "Digestive System" na ndiyo maana Qur'an ikasema Maziwa yanazalishwa kwenye location iliyopo between"Faeces &Blood" Sasa uongo upo wapi hapo?

Na Maziwa ni kinywaji safi tu,... Hata usipofanya the so-called Pasteurization hupati madhara ukinywa, ushahidi ni kwamba most of people's Wana consume raw milk bila pausterization na hamna side effects zozote ikiwezekana kafanye research kwenye Jamii za wafugaji huko.

[emoji3593]
The Quran verse 16:66 corresponds to science.
The verse states that milk is produced in the cow's stomach, between the feces and the blood. This is scientifically accurate. Milk is produced in the mammary glands, which are located in the cow's abdomen. The mammary glands are located near the digestive system, which is why the verse mentions the feces and the blood.

The verse also states that milk is a pure and palatable drink. This is also scientifically accurate. Milk is a nutritious beverage that is rich in protein, calcium, and other essential nutrients. It is also a good source of probiotics, which are beneficial bacteria that can improve gut health.
Vipi bacteria kama Salmonella, Escherichia coli wanaoleta kuharisha tumbo kutuma ambao ni hatari Kwa binadamu. wanakuwemo kwenye maziwa utasemaje ni pure.

Mammary glands kwenye n'gombe ziko kwenye structure inaitwa "udder" una uhakika Iko kwenye abdomen kama ulivyosema kwenye maelezo yako?

"Ipo hivi., Mammary glands zipo karibu na "Digestive System" na ndiyo maana Qur'an ikasema Maziwa yanazalishwa kwenye location iliyopo between"Faeces &Blood"

Hebu nieleweshe hii kauli hiyo location between feaces and blood ni wapi kwenye mwili wa n'gombe maana rectum inayotunza kinyesi Iko kwenye hind gut na blood Iko all over the cows body. Mbona kama sentensi haina maana hivi

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Kuna tofauti ya Land na Earth's Crust,. nadhani unafahamu hilo.

Lakini pia najua unafahamu kwamba, when Qur'an says "the land is spread-out like a carpet' " Imekusudia Land surface na sio Earth's crust

Earth's crust inajumuisha mpaka baharini huko, lakini tunapoongelea ardhi ambayo imetandazwa hata layman anajua kabisa ni ardhi ya Nchi kavu.
Hata tukiongelea Ardhi ya nchi kavu peke yake bado haijatandazwa kama carpet ndo maana nimekwambia soma kidogo kuhusu plate tectonics. Utasemaje Ardhi imetandazwa kama carpet huku plates zinafanya collision, sliding over each other, moving apart. Anaesema Iko kama carpet ndo layman ambae kaangalia kwa macho tu akaona Iko flat kamaliza akaandika.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Hapo umekariri Mkuu ,... Yani mlango wako wa fahamu(macho) unakuonyesha kabisa kwamba ardhi imetandazwa lakini huamini hivyo unataka uamini hadithi za kuambiwa.

Okay, kama Ardhi haipo spread-out like a carpet, je ipoje?
Nimekupa reference rahisi tu soma kuhusu plate tectonics siwezi kuanza kuteremka geography hapa. Tunapataje trenches, rift valleys, mountain ranges, volcanic islands kama kweli Ardhi Iko spread out kama carpet?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Vipi bacteria kama Salmonella, Escherichia coli wanaoleta kuharisha tumbo kutuma ambao ni hatari Kwa binadamu. wanakuwemo kwenye maziwa utasemaje ni pure.

Mammary glands kwenye n'gombe ziko kwenye structure inaitwa "udder" una uhakika Iko kwenye abdomen kama ulivyosema kwenye maelezo yako?

"Ipo hivi., Mammary glands zipo karibu na "Digestive System" na ndiyo maana Qur'an ikasema Maziwa yanazalishwa kwenye location iliyopo between"Faeces &Blood"

Hebu nieleweshe hii kauli hiyo location between feaces and blood ni wapi kwenye mwili wa n'gombe maana rectum inayotunza kinyesi Iko kwenye hind gut na blood Iko all over the cows body. Mbona kama sentensi haina maana hivi

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app

Yes, Mammary glands zipo kwenye Cow's abdomen,... Pitia sources mbalimbali utaona hivyo.

Location between faeces and blood, Ni kama nilivyosema kwamba production ya milk inafanyika near the digestive system ya Cow, which means food inakua transformed into faeces, while some nutrients zinatumika kwenye production ya Milk. (So, it's obvious &clear kwamba mpaka digestion inakamilika damu na faeces zinakua zishatengana)... Hivyo specifically area between faeces and blood Ni hapo kwenye Digestive System.


Hao bacteria kama salmonella kupelekea kuharisha kwa binadamu binafsi sijawahi kuona,.. na sio kila kitu mpaka uambiwe au uishie kusoma unaweza uka prove mwenyewe... Watu wanakunywa na hakuna kuharisha wala kuumwa tumbo, na Mimi binafsi ni shahidi wa hilo.
 
Hata tukiongelea Ardhi ya nchi kavu peke yake bado haijatandazwa kama carpet ndo maana nimekwambia soma kidogo kuhusu plate tectonics. Utasemaje Ardhi imetandazwa kama carpet huku plates zinafanya collision, sliding over each other, moving apart. Anaesema Iko kama carpet ndo layman ambae kaangalia kwa macho tu akaona Iko flat kamaliza akaandika.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app

Hizo plate tectonics unazosema,, hazifanyi ardhi isionekane tambarare au imetandazwa.

Unasema aloandika kaona Iko flat akaandika, hata kama ingekua unasema kweli , lakini tujiulize,Je zamani walikua hawaoni milima? au miteremko?

The fact ni kwamba sehemu kubwa ya ardhi imetandazwa ipo wazi, hata wewe ni shuhuda wa hilo.

"The Land surface appears to be spread-out to the naked eye". Prove me wrong
 
Nimekupa reference rahisi tu soma kuhusu plate tectonics siwezi kuanza kuteremka geography hapa. Tunapataje trenches, rift valleys, mountain ranges, volcanic islands kama kweli Ardhi Iko spread out kama carpet?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app

Our life would have been very different if the land's surface was not a spread-out flat terrain, but filled with mountains and valleys....

if the Earth's surface were predominantly composed of mountains and valleys without flat and habitable land, human life would have evolved and developed quite differently. The presence of flat and fertile land has been essential for agriculture, settlement, and the growth of civilizations. Let's take a look on few ways in which our life is supported by a long flattened land:

1. Agriculture: Flat land is crucial for agriculture. It allows for the cultivation of crops and the raising of livestock. Without such land, the development of agriculture would have been challenging, potentially limiting food production and population growth.

2. Settlements: Habitability is closely tied to the availability of flat land for building homes and infrastructure. If the Earth were primarily mountains and valleys, finding suitable locations for settlements would have been much more difficult.

3. Transportation: Flat terrain is conducive to road and transportation network development. Without it, transportation systems would have been limited, affecting trade and connectivity between regions.

4. Resource Distribution: Different types of terrain offer various resources. Flat land is often associated with fertile soil, while mountains may have valuable minerals. If the Earth were mostly mountains and valleys, resource distribution and access could have been uneven and challenging.

5. Climate and Weather Patterns: The presence of mountains and valleys can influence local climate and weather patterns. Altering the Earth's surface in this way could have led to different climate conditions and weather dynamics.

To make things clear, the geographical features of the Earth, including the presence of flat land along with mountains and valleys, have played a significant role in shaping human civilizations, agriculture, and the overall development of society. A different landscape would have likely resulted in a different course of human history.🙌🏼
 
Hizo plate tectonics unazosema,, hazifanyi ardhi isionekane tambarare au imetandazwa.

Unasema aloandika kaona Iko flat akaandika, hata kama ingekua unasema kweli , lakini tujiulize,Je zamani walikua hawaoni milima? au miteremko?

The fact ni kwamba sehemu kubwa ya ardhi imetandazwa ipo wazi, hata wewe ni shuhuda wa hilo.

"The Land surface appears to be spread-out to the naked eye". Prove me wrong
To the naked eye ni kweli Iko spread out lakini under critical geographical examination haiko hivyo. Na aliendika alikuwa hajawahi kukutana na vifaa wala kufanya land surveying Kwa hiyo aliangalia tu akasema hivyo, anaweza kusameheka Kwa kuwa aliishi zamani sana ila now na advancement yote hii kwenye land survey useme the land is spread out like a carpet sijui utakuwa ignorant kiasi gani.

Kamwambie land surveyor yoyote hivyo uone kama atakubaliana na wewe

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Yes, Mammary glands zipo kwenye Cow's abdomen,... Pitia sources mbalimbali utaona hivyo.

Location between faeces and blood, Ni kama nilivyosema kwamba production ya milk inafanyika near the digestive system ya Cow, which means food inakua transformed into faeces, while some nutrients zinatumika kwenye production ya Milk. (So, it's obvious &clear kwamba mpaka digestion inakamilika damu na faeces zinakua zishatengana)... Hivyo specifically area between faeces and blood Ni hapo kwenye Digestive System.


Hao bacteria kama salmonella kupelekea kuharisha kwa binadamu binafsi sijawahi kuona,.. na sio kila kitu mpaka uambiwe au uishie kusoma unaweza uka prove mwenyewe... Watu wanakunywa na hakuna kuharisha wala kuumwa tumbo, na Mimi binafsi ni shahidi wa hilo.
Kama hio specific area between feaces and blood ni kwenye digestive system maana ake andiko linasema kwamba maziwa ya n'gombe yanatengenezwa kwenye digestive system yake si ndio?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Our life would have been very different if the land's surface was not a spread-out flat terrain, but filled with mountains and valleys....

if the Earth's surface were predominantly composed of mountains and valleys without flat and habitable land, human life would have evolved and developed quite differently. The presence of flat and fertile land has been essential for agriculture, settlement, and the growth of civilizations. Let's take a look on few ways in which our life is supported by a long flattened land:

1. Agriculture: Flat land is crucial for agriculture. It allows for the cultivation of crops and the raising of livestock. Without such land, the development of agriculture would have been challenging, potentially limiting food production and population growth.

2. Settlements: Habitability is closely tied to the availability of flat land for building homes and infrastructure. If the Earth were primarily mountains and valleys, finding suitable locations for settlements would have been much more difficult.

3. Transportation: Flat terrain is conducive to road and transportation network development. Without it, transportation systems would have been limited, affecting trade and connectivity between regions.

4. Resource Distribution: Different types of terrain offer various resources. Flat land is often associated with fertile soil, while mountains may have valuable minerals. If the Earth were mostly mountains and valleys, resource distribution and access could have been uneven and challenging.

5. Climate and Weather Patterns: The presence of mountains and valleys can influence local climate and weather patterns. Altering the Earth's surface in this way could have led to different climate conditions and weather dynamics.

To make things clear, the geographical features of the Earth, including the presence of flat land along with mountains and valleys, have played a significant role in shaping human civilizations, agriculture, and the overall development of society. A different landscape would have likely resulted in a different course of human history.[emoji1373]
Kwani andiko lilikuwa linasema kwamba some areas of the land (baadhi ya maeneo) ni spread out like carpet au the whole land kwa ujumla?

Tukilisoma linaongelea the whole land kwa ujumla. Kwa hiyo hichi ulichokileta hapa kinakukamatisha bado kumbe flat terrain (ambazo pia bado haziko kama carpet) ni maeneo tu fulani ya land surface sio land yote kama ambavyo kitabu chenu kime generalize

Milima imetajwa na kitabu chenu kuwa ni kama "anchors" zinazoshikilia dunia isitikisike (huu ni uongo sio kazi ya milima), valleys waliziona lazima lakini bado wakakazana eti land is spread out like a carpet. Lakini pia kutokufahamu geological forces kama faulting, folding kuwa zipo kuliwapelekea waamini hivyo ila ni muda wa kubadilika Sasa na kirekebisha makosa.

Japo ulichokileta hapo juu ni significance ya flat terrain land huku sisi tulikuwa tunazungumzia kama ni sahihi kusema structure ya land surface is spread out like a carpet ukizingatia uhalisia wa structure yenyewe ilivyo.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom