Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Yap, hiyo pia ni research... Na itakupa majibu vizuri tu.

Au kurahisisha tengeneza Questionnnaire kupitia google form au hata KoboToolbox,.. watumie link watu ukiwauliza kama wamepata madhara ya kuharisha na kuumwa tumbo as a result of consuming raw milk., Ukishapata majibu fanya analysis zako uone kama zina correspond na madai yako juu ya raw milk.

Mbona ni rahisi tu, tatizo Waafrika tunapenda kutafuniwa... tufanye utafiti wenyewe.
Control ya variables itafanyikaje tukifanya research kwa hii njia yako hii. Mtu anaweza kuumwa tumbo kwasababu ya Escherichia coli aliyekuwa kwenye maziwa lakini akahisi hilo tumbo linatokana na yeye kutokuosha tunda alilokula hapa majibu atakayotoa kwenye questionnaire ni yatakuwa na ukweli ?

Tunatakiwa kufanya vipimo Kwa mtu tumgundue parasite aliyepo na possibility ya huyo parasite kutoka kwenye source fulani. Hii ndo valid research.


Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Still Yupo sahihi kusema milk ni pure drink. Kwasababu kiuhalisia ipo hivyo endapo kukiwa hakuna contamination yoyote.

Na kuuliza hivyo ni sawa na kusema kwanini Allah anasema katupa macho yenye kuona na wakati kuna vipofu?

Ambapo ipo wazi, kwamba kiuhalisia macho yapo kwa ajili ya kuona.

Au ulitaka aelezee every details,?kuna room ya kujiongeza Kwa kuwa tumepewa akili.

Kwa mfano kuhusu Bacteria na viruses wengine Allah hakutaka kuelezea sana alisema tu kwamba :-
"Kuna viumbe ambavyo tunaviona na ambavyo hatuvioni kwa macho yetu"

Huenda zamani watu walishindwa kujua ni viumbe gani hivyo ambavyo hatuvioni kwa macho, lakini currently kutokana na teknolojia tiny creatures kama Bacteria tunaweza kuwaona kwa kutumia devices kama Microscope.
Japo still naamini vipo viumbe vingine vidogo zaidi ambavyo hatuwezi kuviona hata kwa microscope.
Kivipi ni pure drink huku source yake kaiwekea uwezekano wa maziwa kuchanganyikana na viumbe ambao hatuwaoni wanaoweza kutuletea magonjwa?

Kuna wanadamu kawaumba ye mwenyewe ni lactose intolerant na hawa kwao maziwa ni pure drink? Shida Iko wapi angesema tu Kwa baadhi yenu sio pure?

Ndio sawa nirushe nyoka ndani ya chumba halafu nikwambie humo pako salama uingie ukutane nae huku mi nilikuwa najua yumo halafu nijitetee kwamba siwezi kukwambia kila detail kuhusu chumba.

Allah alisema "Kuna viumbe ambavyo tunaviona na ambavyo hatuvioni kwa macho yetu" (naomba na reference ya hili andiko kama hutojali)

Ila hakuona ni muhimu kusema hivyo viumbe msivyoviona kwa macho vinaweza kuwa hatari kwa afya yenu? Detail muhimu kama hii kwanini aliiacha? Jibu dogo tu hapa mwandishi alikuwa hafahamu madhara ya hivi viumbe

Na hata ukitumia mfano wa macho, mtu aliyezaliwa kipofu macho hayaoni utamwambia na yeye mungu kampa macho Kwa ajili kuona? Vivyo hivyo maziwa yenye parasites utaniambia ni pure mungu kanipa ninywe tu bila shida ?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Okay na yeye kwa kuumna ulimwengu mbovu unaosababisha watu wasiokuwa na hatia wafe, siku ya malipo naye atawajibika kwa uzembe huo?

Au kuna double standard?
Onyesha kwanza uzembe uko wapi ili tujadili.

Sio anao sababisha sahihi anaruhusu haya yote yatokee, ndio maana akaitwa muweza wa yote.

Hao waio kuwa na hatia wanakufa sababu muda wao umefika, kifo sio jambo baya kama nyinyi mnavyo dhani, bali kifo ni haki ya kila kiumbe.

Sasa nataka uonyeshe uzembe uko wapi ili ulichokiandika kiwe kweli.
 
Kujiua sio option kwasababu bado kuna watu wananitegemea mimi kama msaada kwasababu Mungu wakuwasaidia hayupo
Basi usahihi ni kuwa ni jambo la msingi. Thibitisha wapi Mungu hakuwasaidia wakati anawapa uhai na mengine yote, kingine usichokijua hata wewe unaweza usiwepo na hao wanao kutegemea wakaishi tena wakaishi maishi mazuri kuliko Sasa, sababu Allah ndio mpangaji na muendesha mambo.
 
Kwa hiyo Mungu wako anakuangushia tatizo halafu anakusikilizia umuombe akusaidie?

Jirani yako anauza maziwa bei kali sana ambayo wewe huwezi kumudu.

Akafanya hila akakuwekea sumu makusudi kwenye chakula chako bila wewe kujua, na wewe ukala baadaye ukaanza kuugulia maumivu ya tumbo.

Baadaye akagundua kuwa kile chakula kina sumu.

Ghafla jirani yako anakuja na glass ya maziwa, anakuletea unakunywa unapona.

Baada ya hapo utamuona jirani mwema na ana upendo sana kwa kuokoa maisha yako.

Kakuletea maziwa ambayo usingeweza kuyanunua kwa gharama zako lakini yeye kakuletea bure.

Lakini je ni kweli kihalisia huyo jirani ana stahili sifa hizo za upendo?

Mtu huyu akijulikana atafungwa jela, hatapewa dhamana, ndugu wanaweza kumtenga, majina ya katili hayatatosha kumuelezea tabia yake, ataitwa shetani.

Lakini Mungu aliyeumba ulimwengu unaoruhusu maovu, akikuponya kidonda kilichotokana na tetemeko la ardhi, Mungu huyu anaitwa mwenye upendo wote. Kwanini?

Huoni kama chochote unachoona umepewa na Mungu ni karata ya siasa tu ili uone anakujali wakati kihalisia amekupa dawa kwenye ugonjwa aliotengeneza yeye?
Weka mfano halisi mfano ulio utoa ni mfano mfu.

Mola alipo tuumba akatupa uhuru, tukipenda tumshukuru na tukiamua tukufuru, huo uhuru uko nao wewe pia.

Mola hatuangushii tatizo kama unavyo sema, sababu katika utendaji wake una hekima ndani yake, mitihani anayo tupa ni matokeo ya machumo ya Mikono yetu.

Kwahiyo anajua kabisa hata kabla ya wewe kufanya matokeo yake ni nini. Kwahiyo swali lako halina uhalisia.

Kingine usiandike ulimwengu unao ruhusu maovu kutokea, sababu ulimwengu hauwezi kuruhusu bali Allah ndio anaruhusu haya yote kutokea.
 
Wakati Mungu ana plan kuja na mbinu hii aliweza kujua out come yake itavyokuwa?

Kama Mungu alifanya hivyo ili kuwazindua watu wake, halafu kwenye maono yake ya future aliona bado hiyo peke yake haitatosha kufanya watu wafanye kile anachotaka, kwanini alipitisha wazo hilo?

Unataka kuniambia katika ujuzi wake wote hii ndio ilikuwa best plan kwake ya kufanya ulimwengu uwe bora?
Allah anajua hata kile ambacho hakipo kikiwepo kingekuwaje.

Ana njia nyingi za kuwazindua watu bali hata angetaka wote tumuamini angefanya hivyo, ila ameweka utaratibu huu ili tufikie lengo la kuwepo duniani.
 
Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?

[emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116]. [emoji116].

Famous People Who Mocked God

Here are the top 5 influential people who famously mocked god and ended up dead

1. John Lennon (The Beatles)

John Lennon was a British legendary who co-founded the British invasion band called ‘The Beatles‘ in the 1960s. Lennon and co-writer Paul McCartney wrote hundreds of songs together along with George Harrison and Ringo Star, and together they remained at the top of the list for nearly a decade. The ladies were especially head over heels in love with John Lennon.

Some years ago, during his interview with an American Magazine, Lennon had said: “Christianity will end, it will disappear. I do not have to argue about that. I am certain. Jesus was okay, but his subjects were too simple, today we are more famous than Him” (1966).

His remark led to an outrage among his fans and triggered a protest rally, people thought he mocked God, where people expressed their anger by setting their vinyl records and The Beatles’ posters afire. In 1970, The Beatles disbanded.



On the 8th of December 1980, Lennon was shot six times in his head by one of his fanatics in front of his house and died on the spot. Interesting fact, he kind of did predict how he would die. Now, that’s spooky!

2. Marilyn Monroe (Hollywood Celebrity)

She had the perfect life that anyone could ever dream of; a remarkable amount of wealth and great fame, and she was astoundingly beautiful.



One day during filming, she was visited by Billy Graham during a presentation of a show. He said the Spirit of God had sent him to preach to her. After hearing what the Preacher had to say, she said: ‘I don’t need your Jesus’. A week later, she was found dead in her bedroom.

The most accepted theory suggested she was suffering from depression and committed suicide. In fact, it was actually the right time for her to seek God but she mocked God.

3. Thomas Andrews (Titanic Shipbuilder)

[https://icytales]By Everett Collection/ Shutterstock

Thomas Andrews was inspired to build a ship that would be legendary during his time. After the construction of the mighty Titanic, a British luxury liner, a reporter asked him how safe the Titanic would be. With an ironic tone, he said, ”Even God himself couldn’t sink the ship”.

The result: I think you all know what happened to the Titanic.

[https://icytales]Icy Media

4. Tancredo Neves (President of Brazil)

During his Presidential campaign, he said if he got 500,000 votes from his party, not even God would remove him from Presidency.

Sure, he got the votes, but the unfortunate fella got sick a day before he was made President and died.

5. Bon Scott (AC/DC Former Vocalist)

[https://icytales]By loudersound.com

Scott in his golden days with AC/DC since 1974 had replaced Dave Evans as the vocalist of the band. On one of his 1979 songs he sang: ‘Don’t stop me; I’m going down all the way, down the highway to hell’.

A year later, Scott was found dead on 19 February 1980; he choked on his own vomit.

Humans can only come up with theories, but God alone knows the true reasons for their death.
Imani haina kanuni.

Unaweza kuamini hata mende tu kuwa inawaka mwamga au ndiyo iliumba ulimwengu

Huwa nashangaa sana napoona mtu anaamini katika Mungu!!

Huwa naskitika napoona mtu mmoja akimshangaa au kumkosoa mtu wa imani nyingine (imani tofauti).

Kwasababu wote hawa ni wavunjaji wa kanuni.

Wote hawalazimiki kufuata kanuni.

Wewe uko katika mtazamo wa kwamba watu wote lazima waamini katika Mungu.

Japo ukweli ni kwamba M{i}ungu [hi]huyo ha{i}yupo.

Unawezaje kutaka watu waamini tu hata vya uongo!?

Self delusion is a gift of natural selection.
 
Watu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.

Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka
Siyo kwamba mtu anayeamini kwa hofu ya kutishwa na jambo ndiye mtu hatari zaidi katika uso wa dunia hii ukilinganisha na mtu aliye mwema na anafanya yaliyo mema pasipo kuwekewa vitisho?

Viongozi Wangapi wanaamini Mungu na wanahudhuria msikitini na makanisani lakini ni mafisadi na wanatenda yasiyo mazuri!?

Main issue is to respect humanity.

Watu hawaamini kwasababu Mungu hayupo tu, wala siyo issue ya maadili!!

Hata kama nkikubali idea yako ya kwamba watu wawe na hofu ya Mungu ili wawe wema

Swali linabaki habari ya Mungu ni kweli au si kweli!?
 
Anaendesha haya mambo, kuumba, kutoa uhai na mengine mengi.
Mengine mengi ukiwa na maana kuwa yeye ndio controller wa kila kitu?

Au kuna vitu vinafanyika bila ridhaa yake?
 
Onyesha kwanza uzembe uko wapi ili tujadili.
Uzembe ni kuumba ulimwengu mbovu unaoweza kuruhusu watu kufanya maovu ilihali uwezo wa kuumba ulimwengu ulio bora alikuwa nao.

Uzembe wa Mungu ni kuwa na fikra ndogo za kufikiria kuwa lengo la ulimwengu huo mbovu ni kipimo cha kuwapima ili ajue imani zao hao viumbe wake, ilihali yeye ni mjuzi wa kila kitu asiye hitaji kipimo cha aina yeyote kujua chochote.

Uzembe wa Mungu ni kuumba binadamu mwenye madhaifu akaishi kwenye ulimwengu wenye madhaifu, akiwa na mategemeo ya kumuona binadamu akifanya mambo kwa ubora.

Uzembe wa Mungu ni yeye kuona jambo rahisi kwa binadamu ambaye ni dhaifu kuweza kuishi bila kufanya ubaya, ilihali yeye mwenyewe ambaye ni mkamilifu anafanya ubaya kwa kulete mafuriko yanayoua hadi watoto wasio na hatia.
 
Sio anao sababisha sahihi anaruhusu haya yote yatokee, ndio maana akaitwa muweza wa yote.
Kama kuweza kila kitu ni pamoja na kufanya mabaya, vipi bado ataendelea kuhesabika kuwa ni mwenye upendo wote?
 
Hao waio kuwa na hatia wanakufa sababu muda wao umefika, kifo sio jambo baya kama nyinyi mnavyo dhani, bali kifo ni haki ya kila kiumbe.
Leo hii jambazi akaja akambaka mwanao wa miaka mitatu kisha akamuua.

Utaweza kusema kuwa siku yake ilikuwa imefika?

Na kama siku yake ilikuwa imefika, je hiyo haita maanisha kuwa mbakaji hana kosa kwasababu mpangaji wa siku za kuishi sio yeye ni Mungu?
 
Back
Top Bottom