Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Kutomuamini Mungu ni ujasiri?

Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?


Usishangae, inaweza kuwa ni Neema kumjua Mungu, umepewa huo ufaham bure, waombee!!!!
 
Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?
Hayo mambo uliyotaja watu hajachagui. Uwe na imani ama usiwe nayo utakumbana nayo tu.

Na ukifanya uchumguzi vizuri utagundua kwamba wengi wanaojiita walokole hayo mambo yanawatesa zaidi.
Umasikini umewaandama, maradhi ndo usiseme. Kifo kipo kwa kila mtu.

Mungu kama kweli yupo acha ajitetee mwenyewe, wasioamini kama.yupo waache kama walivyo maana hata wao wanakushangaa unavyoamini kama Mungu yupo.
 
Mimi pia najiulizaga hivi watu wanaosema wana amini Mungu na kudai wameshuhudia miujiza wanakuwaga serious kweli or they just fooling around?
Means hujawah kuamin kbsa uwepo wake mkuu??

Kvp ebu nipe hoja 5 tu.
 
Zaburi 53:1, inasema MPUMBAVU usema moyoni hakuna MUNGU, Kwa hiyo usiangaike nao hao ni wapumbavu tu kama wapumbavu wengine.
Kila kitu kipo wazi ila bado kuna mafuvu ni magum[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.

Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka
acha uwongo basi,binadamu wa toleo la kwanza cain alikua anaongea hadi na mungu(bible)lakini alimuua ndugu yake,je nayeye hajui kama mungu yupo?Utu wake uko wapi?
 
Nyie watu wa dini sijui mna akili za namna gani kwanza sio wavumilivu kwa wale wasio kubaliana na mafundisho yenu.

Mnapenda kuforce watu wote wawe kama nyie kuishi, kufikiri na kutenda.

Halafu wanafiki sana nyie sijui mafundisho yenu ndio yana haya maujinga ni watu mlio na tabia za kijinga zisizo vumilika.

Kwa mfano wewe hapo watu wasiopo muamini sijui huyo Mungu wako wewe unaathirika nini ? mbona wasio amini wapo ok ila wewe ndie unashwa na kugadhabika wasipo muamini huyo Mungu wako ?
Mkuu una uchungu kinoma [emoji23][emoji23]

Una wasiwasi moyoni na kutojiamini, mm siathiriki na chochte coz kila mti atahukumiwa kulingana na matendo yake.

[emoji23][emoji23][emoji23] Plz usipanic hii co vita kaka n fikra tu, njoo na hoja basi nami unielimishe labda mm ndo napotea na wew uko sahihi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nyie watu wa dini sijui mna akili za namna gani kwanza sio wavumilivu kwa wale wasio kubaliana na mafundisho yenu.

Mnapenda kuforce watu wote wawe kama nyie kuishi, kufikiri na kutenda.

Halafu wanafiki sana nyie sijui mafundisho yenu ndio yana haya maujinga ni watu mlio na tabia za kijinga zisizo vumilika.

Kwa mfano wewe hapo watu wasiopo muamini sijui huyo Mungu wako wewe unaathirika nini ? mbona wasio amini wapo ok ila wewe ndie unashwa na kugadhabika wasipo muamini huyo Mungu wako ?
Mkuu una uchungu kinoma [emoji23][emoji23]

Una wasiwasi moyoni na kutojiamini, mm siathiriki na chochte coz kila mti atahukumiwa kulingana na matendo yake.

[emoji23][emoji23][emoji23] Plz usipanic hii co vita kaka n fikra tu, njoo na hoja basi nami unielimishe labda mm ndo napotea na wew uko sahihi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Habarini wakuu,

Unajua Dunia imejaa mengi sana, yakustaajabisha na kusikitisha pia. Binafsi nilikuwa nahitaji kujua hivi mtu au watu wasioamini uwepo wa MUNGU huwaga wapo serious au ni jokes tu?

Kuna mda hadi naogopa, ujasiri wa kukataa hakuna Mungu huwa mtu unautoa wapi?

Je, vipi kuhusiana na Miujiza na athari ya nguvu yake katika maisha yako ya kila siku, mfano mambo ya riziki, maradhi, uhai, kifo etc?

Kuna vitu vya kuviletea UTANI ila sio uwepo wa MUNGU, Kama hauamini uwepo wake basi ni vyema kuwa silent ila sio KUPOTOSHA yakuwa hayupo.

Hivi ujasiri wa kusema MUNGU hayupo mtu unakuwa nao vipi au sisi wengine TUNAE MUAMINI ni waoga?
Matendo ya Mungu si ya mwanadamu
Njia za Mungu si za mwanadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Power kubwa iliyoumba ulimwengu na kuvipa uhai vyote vilivyo hai,lakini sio hiyo miungu ya kwenye vitabu vyenu,hiyo ni miungu mliyojitengenezea kwa malengo na matakwa yenu ya upumbafu na ujinga.
Je, ni POWER ipi hyo mkuu. Tueleze hakuna mwanadamu ajuaye yte[emoji3578]
 
Hakuna Mungu/mungu kwa maana ya sifa na tabia mlizozianisha kwenye vile vitabu vyenu.

Hakuna Mungu/mungu kwa aina ya vitisho mnavyowatishia watu

Hakuna Mungu/mungu kwa sababu sababu Hana athari kwenye maisha yako wewe, vizazi vyako na Taifa kwa ujumla.

Ndio maana ikaiwa Imani tu
Je, sisi asili yetu ni ipi ??
 
Crusades (1050 - 1300), Inquisition (12th to 13th century), ISIS, Al-Shabaab, Boko Haram, Wakatoliki na Waprotstanti wa Northern Ireland, Wahindu na Waislamu wa India. Hao wote wamefanya unyama wa ajabu dhidi ya binadamu kwa kutumia jina la Mungu.
Viongozi wa hizo Dini na waumini Wao, wanalijiua Hilo , Ila wanajitoa ufahamu, eti ilikuwa ni Kazi ya kidini , dini Gani inahalalisha mauwaji Kwa binadamu wenzake
 
Watu ambao hawamuamini MUNGU, hawafai kuanzia kwenye ngazi ya kifamilia mpaka ya kitaifa na kimataifa.. sio wa kuwaamini kabisa.

Ukiwa na imani ya MUNGU.. Moja kwa moja inakujengea hofu ya kufanya mambo maovu. Hivo unajichunga wewe kama wewe kuhakikisha huwakosei binadamu wenzako. Na hapo utu ndo unapojengeka
Mara zote ukimuamini MUNGU unakuwa huru, unajiamini na unakaa mbali na aina zote za uasi.

Katika udhoefu wangu wa watu wasiomuamin Mungu wengi wana mashaka mioyoni mwao na hawaogopi uasi wowte ule.

#Lastly, OLE WAKO uzungumzie mambo ya kufakufa mbele yao. Aisee wanakuwa waoga kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom