zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Yaani kuna wale ambao tunampendaga msichana/mvulana mpaka tupate namba ya simu.
Mkishachat ndo umwambie ukweli.
Yaani sometimes wapo ambao wako funny and romantic kwenye phone conversations lakini ukiwambia wa anze kuapproach girl Ana kwa Ana wanashindwa cha kusema kabisa.
Mi naona phone inarahisisha mahusiano kuanza nowdays
Alafu kwenye phone Una flow easily hata akikataa huoni aibu
Ila ana kwa ana unaona mchoro kiukweli.?
Wengine wanakuambia wao ni wakali wa mavocal ya ana kwa Ana hawaoni ugumu wowote ule.
Wazee wa no kupoteza muda
[emoji23]
Mkishachat ndo umwambie ukweli.
Yaani sometimes wapo ambao wako funny and romantic kwenye phone conversations lakini ukiwambia wa anze kuapproach girl Ana kwa Ana wanashindwa cha kusema kabisa.
Mi naona phone inarahisisha mahusiano kuanza nowdays
Alafu kwenye phone Una flow easily hata akikataa huoni aibu
Ila ana kwa ana unaona mchoro kiukweli.?
Wengine wanakuambia wao ni wakali wa mavocal ya ana kwa Ana hawaoni ugumu wowote ule.
Wazee wa no kupoteza muda
[emoji23]