Kutongoza ana kwa ana Vs kutongoza kwa simu

Kutongoza ana kwa ana Vs kutongoza kwa simu

Vijana wa sikuhizi mmekua yogoyogo Hadi kwenye mambo ya msingi kabisa.....
Yaani nyie ndio mkukutana na mdada ana kwa ana, mnaishiaga kung'ata kucha tu..
 
The world has changed a lot now days that when people want to approach they make an agreement[emoji1787][emoji1787]
 
Live inanoga Sana usipime!! Ukimkoleza vzr utainjoi asee, mtoto kung'ata kucha jicho lege, kuvunja vijiti, kuinama chini na mixer vile viaibuaibu !! Raha Sana ukipiga vocal live mzee, kwa simu yte hayo huyapati kwanza hata confidence inapungua ubunif wa maneno matam ya ushawishi unakosa!! Sim fanya kukazia tu ila kutongoza live kutamu mwe[emoji39]
 
I miss my old days when I used to seduce girls while she drew down by her toe[emoji847] vijana wa kileo ubunif umekua mdogo Sana 7bu ya simu!! Piga ulimi mtoto adi mtu akiwaona hata kwa mbali anajua kbsa pale mtoto analambishwa madini na yashamlevya[emoji1787][emoji23]
 
[emoji1318]
MKUU,
TUNAKUMBUSHANA TU KUWA,

MHESHIMIWA #HASHIM_RUNGWE_SPUNDA ND'O RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA TIKETI YA CHAUMMA, CHAMA KINACHOENDA KUSHIKA DOLA MWAKA HUU MWEZI WA KUMI.

[emoji1318][emoji1318][emoji1318][emoji1318]
Hahahahhaa
 
[emoji1318]
MKUU,
TUNAKUMBUSHANA TU KUWA,

MHESHIMIWA #HASHIM_RUNGWE_SPUNDA ND'O RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA TIKETI YA CHAUMMA, CHAMA KINACHOENDA KUSHIKA DOLA MWAKA HUU MWEZI WA KUMI.

[emoji1318][emoji1318][emoji1318][emoji1318]
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom