zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
- Thread starter
- #21
Duh!Utu uzima dawa lakini siyo ya coronaWe Mtoto watu wazima wakiongea jifanye kama huoni..
Hujafunzwa adabu kwenu!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!Utu uzima dawa lakini siyo ya coronaWe Mtoto watu wazima wakiongea jifanye kama huoni..
Hujafunzwa adabu kwenu!??
Haswaa, tusipofikia muafaka kesho tunaendelea kesho kutwaSawa sawa kesho ni siku nzuri
[emoji23]Vijana wa sikuhizi mmekua yogoyogo Hadi kwenye mambo ya msingi kabisa.....
Yaani nyie ndio mkukutana na mdada ana kwa ana, mnaishiaga kung'ata kucha tu..
Hahaha mpaka kieleweke.Haswaa, tusipofikia muafaka kesho tunaendelea kesho kutwa
Haya usicheleweHahaha mpaka kieleweke.
Ila najua tutafika tu muafaka
Umesemaa!!? Unajua hii kauli ni nzito sana kwa sisi watoto wa Magu.!Sikumbuki kama nimewahi kutongozwa live
Uzito wake ni nini?Umesemaa!!? Unajua hii kauli ni nzito sana kwa sisi watoto wa Magu.!
[emoji23]Umesemaa!!? Unajua hii kauli ni nzito sana kwa sisi watoto wa Magu.!
Inamaana wee hujawahi kabisaa uma vidole au kuvunja vunja vijiti wakati kijana mwenye mistari yake akitambaa na beat!?Uzito wake ni nini?
Sikumbuki kabisa yaaniInamaana wee hujawahi kabisaa uma vidole au kuvunja vunja vijiti wakati kijana mwenye mistari yake akitambaa na beat!?
[emoji4][emoji23][emoji23]Live ndo mpango mzima.Kwanza unamzidi demu kete
Hahahahhaa[emoji1318]
MKUU,
TUNAKUMBUSHANA TU KUWA,
MHESHIMIWA #HASHIM_RUNGWE_SPUNDA ND'O RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA TIKETI YA CHAUMMA, CHAMA KINACHOENDA KUSHIKA DOLA MWAKA HUU MWEZI WA KUMI.
[emoji1318][emoji1318][emoji1318][emoji1318]
Naunga mkono hoja[emoji1318]
MKUU,
TUNAKUMBUSHANA TU KUWA,
MHESHIMIWA #HASHIM_RUNGWE_SPUNDA ND'O RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KUPITIA TIKETI YA CHAUMMA, CHAMA KINACHOENDA KUSHIKA DOLA MWAKA HUU MWEZI WA KUMI.
[emoji1318][emoji1318][emoji1318][emoji1318]