We ungewapangaje labda?Mngepangwa tu, kila mtu na muda wake ...
Mkuu ni kwasababu ya mambo ya digital sikuhizi yamerahisisha mawasiliano, pia yamefanya siri zijulikane, enzi zile ukitoka kazini unaniambia ninakwenda nyumbani, hiyo ndiyo ishara, nikija kwako tunamalizana ninatoka, sasa sikuhizi namba ya MK254 kwenye mobile, nikiulizwa ooh work mate? Mhh😳😳