MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Hii copy pasting.....
Yaan apa najaribu kuwaza peke yangu ivi zama zile zakurusha mawe juu ya bati kwakumpa taarifa demu kuwa upo nje je ingekuwa ndo zama izi cjui ingekuaje maana cku izi demu mmoja ana wanaume 30 tena mtaa mmoja naona hilo bati litakuwa kama kuna mdundiko
Yaan apa najaribu kuwaza peke yangu ivi zama zile zakurusha mawe juu ya bati kwakumpa taarifa demu kuwa upo nje je ingekuwa ndo zama izi cjui ingekuaje maana cku izi demu mmoja ana wanaume 30 tena mtaa mmoja naona hilo bati litakuwa kama kuna mdundiko