Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
- Thread starter
- #21
Nadhani hapa pana tofauti kidogo kati ya 'NYA' na 'NYE' hapa, mfano mtoto kaniNYEA au kaNYA. Naenda chooni kuNYA au kuNYEA! Kwahiyo utaona pana TENDA na TENDEWA hapo au sio wajuzi?Basi mtu anaweza akasema mvua imeninyenyekea. Na mwingine aweza kusema naenda msalani kunyenyekea.