Kutorudia tendo la ndoa

Kutorudia tendo la ndoa

BORESHA NA RUDISHA NGUVU ZA KIUME NDANI sYA NDOA YAKO URUDISHE FURAHA YA NDOA!

Katika tafiti za sasa zinaonesha kuwa tatizo la kupungukiwa nguvu za kiume ni la kawaida maana tafiti zinaonesha kwamba ni asilimia 4 tu ya watu duniani wanafurahia tendo la ndoa ipasavyo wengine huishi kwa shida kabisa bila kushiriki tendo la ndoa ya kushiriki chini ya kiwango.
Mazingira magumu ya kazi, vyakula tunavyokula, hewa tunayo vuta, changamoto za kifamilia yote haya HUPELEKEA WATU KUKOSA SHAUKU YA TENDO LA NDOA, NA USIPO LIWAHI UNAWEZA KUPATA TATIZO LA MSONGO WA MAWAZO.

SASA JIPATIE BIDHAA AMBAYO IMETENGENEZWA KWA MIMEA ASILI AINA KUU TATU NA VIUMBE WA BAHARINI WAJULIKANAO KAMA PIPE FISH IKAWA DAWA MOJA ASILI YENYE VIDONGE 4 TU UTAFURAHIE RADHA YA NDOA YAKO BILA MADHARA.

1. SYNGNATHUS
Hawa ni samaki wajukikanao kama pipe fish kutokana na umbo lao refu hupatikana baharini na upatikanaji wake ni mgumu sana kwani huogelea ndani kwa ndani hivyo kufanya bidhaa hii iqw adimu sana.
Samaki hawa tafiti zinaonesha kuwa zinasafisha figo na kuimarisha kazi ya figo na kukupa uimara wa tendo la ndoa ambao ulikuwa umedhoofika kwa kudhoofika kwa figo.

Hivyo samaki hawa huvuliwa ,husafishwa,hukaushwa na kutengenezwa katika unga kisha huchanganywa na mimea mingine kutengeneza vidonge vya asili kabisa.

2. EPIMEDIUM

Hii ni mimea ambayo ina maajabu yake na imekuwa kama lulu nchini china na maajabu yake ni pale hata mifugo inapotumia mimea hio katika malisho imeonesha kuwa na shauku kubwa ya kufanya tendo la ndoa zizini.
Sasa mimea hii baada ya kuwekwa kwenye TAFITI MAAJABU YAKE YAMEFICHUKA KUWA NA FAIDA KUBWA SANA KATIKA MWILI WA BINADAMU KATIKA MAGONJWA HAYA.

~Inaongeza SHAUKU YA TENDO LA NDOA (LIBIDO)
~INAONGEZA MBEGU ZA KIUME (SPERMS) NA VICHOCHEO VYA KIUME YANI TESTOSTERONE
~INAONGEZA SHAUKU YA TENDO LA NDOA AMBALO UTAFURAHIA TENDO LA NDOA MUDA WOWOTE NA SEHEMU YOYOTE BILA HOFU KABISA.
~INAONGEZA UWEZO WAKO WA KUWEZA KURUDIA TENDO LA NDOA MARA NYINGI UWEZAVYO

MORINDA OFFICINALIS

Hii pia ni mimea asili ambayo imekuwa ni kipaumbele jatika tafiti mbali mbali za mimea asili kwenye kutibu nguvu za kiume.
Mimea hii imeonesha uimara wake kwenye kufanya jazi hizi

~Kutibu kabisa tatizo la kutopata mtoto
~kutibu kabisa matatizo ya uhanisi
~Kutoa mbegu za kiume nyingi kiwango cha kutosha kutungisha mimba.
~Kufika kilele HARAKA kabla ya nwezi wako na kushindwa kuendelea (pre mature ejaculation)

4. BUTEA SUPERBA

Hii pia ni mimea asili ambayo hupatikana sana katika nchi za thailand na china pia india.
Mimea hii imenesha tafiti kuwa inauwezo wa kuzuia PDE5 na kuwengeza kiwango cha damu kinacho kimbia sehemu za siri na kukupa nguvu za kutosha kuendelea kufurahia tendo la ndoa. Kumbuka bidhaa hii inafanya yote haya bila kuathiri mfumo wa fahamu kama bidhaa zingine za kemikali zinavyo athiri wakati zinafanya kazi.

HIVYO MPENDWA MIMEA YOTE HIO IMEHIFADHIWA KATIKA KIDONGE KIMOJA TU KATIKA TECKNOLOJIA YA KISASA.

DOSE: DOSE NI VIDONGE VINNE TU

MATUMIZI: UNAKUNYWA KIDONGE KIMOJA KILA SIKU (500mg) MASAA MATATU BAADA YA CHAKULA CHA USIKU.

Imetolewa na
Khalid Gugu

DAR ES SALAAM PIGA SIMU 0714 206 306

POPOTE ULIPO UTAPATIWA BIDHAA HII RAFIKI WASILIANA NASI KWA NAMBA HIZO

USISAHAU KULIKE PAGE YANGU AFYA YA UZAZI NA USHAURI facebook page

Hizi dawa nyingi mnazotangaza za kutibu upungufu wa nguvu za kiume na fake, nimeshajaribu several of them hakuna kitu mnatuibia tu wahanga
 
Msaada; Hivi kuna dawa ya kumfanya mtu arudie tendo la ndoa mara nyingi zaid? Kama kuna dawa wapi inapatikana? Maana ndoa inataka kuvunjika huku.[/QUOTEUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya mwanaume kushindwa kusimamisha uume vya kutosha kuweza kujamiiana. Anaweza kushindwa kusimamisha kabisa au akashindwa kumaintain uume kusimama wakati wa kujamiiana. Hujulikana kama 'erectile dysfunction' au 'impotence' kwa kiingereza. Hili ni tatazo ambalo linashika kasi na likitokea zaidi kwa wanaume wenye umri mdogo zaidi. Amini usiamini kila siku inbox yangu inajaa na maswali kuhusu upungufu wa nguvu za kiume na inaonekana wanandoa wengi wameathirika kiasi chakuwa wanaume wamekosa amani katika ndoa zao.

CHANZO
Upungufu wa nguvu za kiume unaoambatana na kupungua hamu ya mapenzi:

- Upungufu wa homoni za kiume
- Msongo wa mawazo (Stress)
- Ukatili wa kimapenzi (Mpango wa kando)
- Ugomvi kila mara baina ya wana-ndoa na hii huchangia pakubwa sana kwa tatizo hili

Upungufu wa nguvu peke yake:

- Kisukari
- Shinikizo la damu la kupanda
- Magonjwa ya mishipa ya damu (Multiple sclerosis)
- Baadhi za dawa za hospitali
- Upasuaji kwenye nyonga
- Ajali; kuvunjika nyonga, uti wa mgongo na kuumia uume
- Ushirikina

TABIA HATARISHI ZINAZOSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tabia hatarishi zifuatazo zinachangia kutokea kwa tatizo hili kwa wanume:

- Kutofanya mazoezi ya mwili.
- Uvutaji wa sigara na tumbaku
- Unywaji sana wa pombe
- Kula vyakula visivyo na virutubisho kama nafaka ziliokobolewa, vyakula vyenye mafuta kwa wingi, kiasi kidogo cha mboga za majani na matunda kwenye mlo.
- Uzito wa kupitiliza (overweight).

Kupunguza au kuacha tabia hizi itasaidia kutibu tatizo hili kama unalo au kupunguza uwezekano wa kujitokeza.

MATIBABU
Kiasi kikubwa cha tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume linatibika. Matibabu yanaelekezwa kutibu sababu inayoleta tatizo hili. Matatizo ya kisaikolojia kama msongo wa mawazo yanaweza kutibiwa kwa ushauri nasaha na wataalamu wa afya. Mara nyingi dawa za uhakika huwa bei yake ni ya juu. Njia nyingine za matibabau ni:

- Dawa (za Hospitali au za Asili zaweza kutumika)
- Vacuum pumps (Njia ya Hospitali)
- Ikiwa sababu nikutokamana na ushirikina tafuta shekhe akusomee ruq'ya
- Mabadiliko katika lishe: kupata lishe bora kutoka kwenye mlo unaotokana na nafaka zisizokobolewa, ulaji wa Karanga na Nuts nyingine, Mboga za majani na Matunda kwa wingi. Vyakula vinavyosaidia kuongeza nguvu za kiume ni kama Almonds, Tikiti maji, Blueberry, Mtini (Figs), Chaza/Kombe wabichi (Raw Oysters), Vitunguu saumu, Ndizi, Chocolate n.k

Ni vizuri kula kwa kiasi kabla ya kufanya mapenzi, hasa wakati wa usiku kabla ya kwenda kulala. Kuvimbiwa husababisha mwili kufanya kazi ya ziada ya kumeng?enya chakula hivyo kuingiwa na uchovu, uvivu na kunyong?onyea. Hii husabisha kukosa usingizi na kupungua kwa umahiri wako katika kufanya shughuli nyingi zinazohitaji nguvu, ikiwemo mapenzi, kwa ufasaha.

Usije kumtafuta mchawi wakati wewe ndio unajiroga, kuwa makini.

Kama ilivyo ada kwenye mambo mengi ya kiafya, hakuna muarobaini. Ni vizuri ukajaribu kubadilisha chakula unachokula, fanya mazoezi mara kwa mara ili kupata mwili wenye nguvu (Kama dakika 30 kila siku).

JE! UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?

Kama una tatizo hili na umeshindwa kulipatia ufumbuzi baada ya kujaribu madawa mingi, wasiliana nasi.

Tuma ujumbe kupitia 'whatsApp' au piga simu kwenye nambari zifuatazo: +255-714-206-306
 
Msaada; Hivi kuna dawa ya kumfanya mtu arudie tendo la ndoa mara nyingi zaid? Kama kuna dawa wapi inapatikana? Maana ndoa inataka kuvunjika huku.[/QUOTEUPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Upungufu wa nguvu za kiume ni hali ya mwanaume kushindwa kusimamisha uume vya kutosha kuweza kujamiiana. Anaweza kushindwa kusimamisha kabisa au akashindwa kumaintain uume kusimama wakati wa kujamiiana. Hujulikana kama 'erectile dysfunction' au 'impotence' kwa kiingereza. Hili ni tatazo ambalo linashika kasi na likitokea zaidi kwa wanaume wenye umri mdogo zaidi. Amini usiamini kila siku inbox yangu inajaa na maswali kuhusu upungufu wa nguvu za kiume na inaonekana wanandoa wengi wameathirika kiasi chakuwa wanaume wamekosa amani katika ndoa zao.

CHANZO
Upungufu wa nguvu za kiume unaoambatana na kupungua hamu ya mapenzi:

- Upungufu wa homoni za kiume
- Msongo wa mawazo (Stress)
- Ukatili wa kimapenzi (Mpango wa kando)
- Ugomvi kila mara baina ya wana-ndoa na hii huchangia pakubwa sana kwa tatizo hili

Upungufu wa nguvu peke yake:

- Kisukari
- Shinikizo la damu la kupanda
- Magonjwa ya mishipa ya damu (Multiple sclerosis)
- Baadhi za dawa za hospitali
- Upasuaji kwenye nyonga
- Ajali; kuvunjika nyonga, uti wa mgongo na kuumia uume
- Ushirikina

TABIA HATARISHI ZINAZOSABABISHA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

Tabia hatarishi zifuatazo zinachangia kutokea kwa tatizo hili kwa wanume:

- Kutofanya mazoezi ya mwili.
- Uvutaji wa sigara na tumbaku
- Unywaji sana wa pombe
- Kula vyakula visivyo na virutubisho kama nafaka ziliokobolewa, vyakula vyenye mafuta kwa wingi, kiasi kidogo cha mboga za majani na matunda kwenye mlo.
- Uzito wa kupitiliza (overweight).

Kupunguza au kuacha tabia hizi itasaidia kutibu tatizo hili kama unalo au kupunguza uwezekano wa kujitokeza.

MATIBABU
Kiasi kikubwa cha tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume linatibika. Matibabu yanaelekezwa kutibu sababu inayoleta tatizo hili. Matatizo ya kisaikolojia kama msongo wa mawazo yanaweza kutibiwa kwa ushauri nasaha na wataalamu wa afya. Mara nyingi dawa za uhakika huwa bei yake ni ya juu. Njia nyingine za matibabau ni:

- Dawa (za Hospitali au za Asili zaweza kutumika)
- Vacuum pumps (Njia ya Hospitali)
- Ikiwa sababu nikutokamana na ushirikina tafuta shekhe akusomee ruq'ya
- Mabadiliko katika lishe: kupata lishe bora kutoka kwenye mlo unaotokana na nafaka zisizokobolewa, ulaji wa Karanga na Nuts nyingine, Mboga za majani na Matunda kwa wingi. Vyakula vinavyosaidia kuongeza nguvu za kiume ni kama Almonds, Tikiti maji, Blueberry, Mtini (Figs), Chaza/Kombe wabichi (Raw Oysters), Vitunguu saumu, Ndizi, Chocolate n.k

Ni vizuri kula kwa kiasi kabla ya kufanya mapenzi, hasa wakati wa usiku kabla ya kwenda kulala. Kuvimbiwa husababisha mwili kufanya kazi ya ziada ya kumeng?enya chakula hivyo kuingiwa na uchovu, uvivu na kunyong?onyea. Hii husabisha kukosa usingizi na kupungua kwa umahiri wako katika kufanya shughuli nyingi zinazohitaji nguvu, ikiwemo mapenzi, kwa ufasaha.

Usije kumtafuta mchawi wakati wewe ndio unajiroga, kuwa makini.

Kama ilivyo ada kwenye mambo mengi ya kiafya, hakuna muarobaini. Ni vizuri ukajaribu kubadilisha chakula unachokula, fanya mazoezi mara kwa mara ili kupata mwili wenye nguvu (Kama dakika 30 kila siku).

JE! UNA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME?

Kama una tatizo hili na umeshindwa kulipatia ufumbuzi baada ya kujaribu madawa mingi, wasiliana nasi.

Tuma ujumbe kupitia 'whatsApp' au piga simu kwenye nambari zifuatazo: +255-714-206-306

Acheni wizi nyie watu
 
Msaada; Hivi kuna dawa ya kumfanya mtu arudie tendo la ndoa mara nyingi zaid? Kama kuna dawa wapi inapatikana? Maana ndoa inataka kuvunjika huku.

nipm mkuu juice ya tangawiz itakufanya urudie hata Mara sita my price is 10000 only
 
Back
Top Bottom