Kutotaja jina la papa wa madawa ya kulevya ni kutengeneza mazingira ya ufisadi

Kutotaja jina la papa wa madawa ya kulevya ni kutengeneza mazingira ya ufisadi

Bw. Lyimo amejitapa ni Papa mkubwa na anafahamika duniani kote na kwamba amekuwa akisakwa na nchi mbalimbali.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo akisakwa na Nchi zote na aliyefanikiwa kumkamata ni Tanzania. Heko kwa Jeshi letu kwa intelijensia kubwa ya Kimataifa.
Mama anaupiga mwingi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo akisakwa na Nchi zote na aliyefanikiwa kumkamata ni Tanzania. Heko kwa Jeshi letu kwa intelijensia kubwa ya Kimataifa.
Mama anaupiga mwingi
Hii nchi tunapenda sana sifa na kujilinganisha, mara ooh sisi ni wa kwanza afrika kuwa na vifaa vya kisasa vya tiba ya moyo; mara ooh sisi ni wa kwanza kuwa na jengo zuri nk.

Sasa sijui huyu Papa wetu na wale wa Mexico, Bolivia, Nicaragua nk nani zaidi!
 
Sasa hizo 600gram ndio zakutusumbua na kumuita mtu papa,. Hizo vijana tu pale tip top n kino wanazo wanagangia njaa.

Unapozungumzia madawa na kumuita mtu papa unapaswa kuanza kuzungumzia 5kg na kuendelea.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo akisakwa na Nchi zote na aliyefanikiwa kumkamata ni Tanzania. Heko kwa Jeshi letu kwa intelijensia kubwa ya Kimataifa.
Mama anaupiga mwingi
Hayo mapapa yamo ndani ya serikali na CCM vinginevyo ni drama tu inafanyika!
 
Back
Top Bottom